Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
Mkuu nakukubal sana
 
Mkuu punguza povu bac
 
Mkuu hii elim mpya yesu n masih wa 16 kusubiriwa??? Nahtaji kufaham kuhusu hili zaid
 
Mohamed wewe ni rahisi kusema unayosema ila huyu bwana hapa akisema mohammad alikuwa mbakaji utatamka astaghafilulah mpaka mia na kutaka kukata watu mapanga. Au aksema mohamad saw alikuwa jangili,mporaji n.k utaona wewe sasa ndo unatokwa na kamasi kabisa...ungekaa pemben uache sisi wenye elimu zote tuzungumze.
 
Je Daudi alikuwa mweusi? Yesu ni kizaz toka lea mfalme daud. Je daud alikuwa ni black?
 
Je Daudi alikuwa mweusi? Yesu ni kizaz toka lea mfalme daud. Je daud alikuwa ni black?
We wangekuita GuJike tu,maana ni mgumu wa kuelewa

Daudi alikuwa mwebrania,waebrania wote walikuwa Dark skinned

Inawezekana hujui,kwanini wewe una rangi nyeusi
Melanin ndiyo inayofanya ngozi yetu kuwa nyeusi

Melanin hiyohiyo ndo inayolinda ngozi yetu na mionzi mikali ya jua[Utra violet]

Mzungu hawezi kukaa sehemu yenye joto,bila kupata skin cancer kwa sababu hana melanin za kutosha

Ibrahim aliishi middle east[wakati huo]

Asilimia kubwa ya Middle east,ilikuwa ni jangwa,hivyo kulikwa joto kali

sasa Ibrahim angewezaje kuishi huko kama alikuwa white skinned?

Nenda basra Iraq,kule kuna joto kali sana lakini wenyeji wa kule ni weusi japokuwa wapo Iraq

Ukiona naongopa fanya utafiti wako ili uujue ukweli

Kuelimisha Miafrika kama nyie heri uwafundishe panya kutegua mabomu!
 
Kuhusu swala la Yesu kuwa ni black inawezekana but nifafanulie kuhusu unavyosema Mungu hayupo (enstein)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…