Warundi wanajua ukiwa Tanga ndo uko Mombasa

Warundi wanajua ukiwa Tanga ndo uko Mombasa

Monomer

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2023
Posts
680
Reaction score
1,260
Kuna mrundi sijui ni muha mmoja apa saba saba Tanga alikua anaongea na mkewe kwa simu amwambia eee amakulu ni meza,walakize,ee niko mombasa nitakupigia nikifika escot.Mi nashangaa jamaa kwanini amwambia mwenzie yuko mombasa ina maana hajui kua kashaingia Tz?kidogo nimwambie oya apa sio mombasa ni Tanga Tanzania.
 
Kuna mrundi sijui ni muha mmoja apa saba saba Tanga alikua anaongea na mkewe kwa simu amwambia eee amakulu ni meza,walakize,ee niko mombasa nitakupigia nikifika escot.Mi nashangaa jamaa kwanini amwambia mwenzie yuko mombasa ina maana hajui kua kashaingia Tz?kidogo nimwambie oya apa sio mombasa ni Tanga Tanzania.
Mashamba yote yaliopo Tanga bwererebwerere umeshindwa hata kujikeep bize na kubaki kufuatilia maisha na maongezi ya wengine?

adriz de mbusii
 
Kuna mrundi sijui ni muha mmoja apa saba saba Tanga alikua anaongea na mkewe kwa simu amwambia eee amakulu ni meza,walakize,ee niko mombasa nitakupigia nikifika escot.Mi nashangaa jamaa kwanini amwambia mwenzie yuko mombasa ina maana hajui kua kashaingia Tz?kidogo nimwambie oya apa sio mombasa ni Tanga Tanzania.
aaaah ! Kwakweli umewakosea waha ! Kwanza umewaita warundi ! halafu umewaona ni washamba ! umepaona Kigoma ni kama kijiji kilichochangamka. Hv unawachukuliaje waha..hv unadhani mkoa wao upo nyuma saana..ebu sikia kidogo kauli yao hii "Mnasema Tanga ni Mujiii Kigoma ni Bhulekii yaaao" Ona vyuma vimebhebhana(treni na reli)...Halafu kweli uje useme waha ni washamba hebu omba samahani mara moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom