Warrant issued for Sudan's Bashir

Hapana,
Wale mnaosema kuwa ni Waaafrika tu mnakosea. Wale viongozi wa Kiserb walioshiriki katika mauaji pia wamefikishwa huko.

Naomba niongezee kwa mkuu Jasusi kua war criminals wa kwanza walikuwa ni wajerumani - Nazis wale maafisa na mawaziri wa Adolph Hitler... tuache kulia na racism kila wakati! Kama mtu ni mwuaji basi let us call a spade a spade! Bashir is a criminal, full stop! Wacha apelekwe mahakamani na apate fair trial, which is more than what millions of victims were given!
 
Somalia wao , misri wao na sasa ethiopia au ni kwa sababu makao makuu ya afrika yako kule

NI kwa sababu Ethiopian is the only large Christian nation at the horn of Africa surrounded by unstable countries - Somalia, Sudan, Eritrea, Djibouti....
 
Warrant issued for Sudan's Bashir
BBC News Online

The International Criminal Court has issued an arrest warrant for Sudan's president on charges of war crimes and crimes against humanity in Darfur.

Omar al-Bashir, who denies the charges, has previously said that an arrest warrant would have "no value".

Reports say Sudan's capital, Khartoum, was tense as people awaited the decision, with fears of unrest.

The UN estimates some 300,000 people have died and millions been displaced in six years of conflict in the region.

The spokeswoman for the court in The Hague, Laurence Blairon, said the violence was the result of a common plan organised at the highest level of the Sudanese government.

It is the ICC's first ever warrant issued against a sitting head of state.


Fyagio la chuma sasa limeanza East Afrika Rais wetu alilikataa kata kata lisipelekwe Sudani lakini ukweli ukizihiri uongo hujitenga Omar al-Bashir hatokuwa wa mwisho wapo watakao mfatia kama sile kesho ambao watafikishwa katika vyomba vya sheria wakiwa madarakani
 
ebu tujiulize kama hii korti ni mbaya kwa nini madikteta na wauaji kama akina joseph kony, bashir na wenzake wanaichukia kama ukoma, hii korti ndiyo ilisaidia kumaliza ule utata wa uchaguzi pale kenya,kwa kuwa kibaki na raila waliogopa wananchin wakiendelea kuchinjana kuna kupelekwa the hague. koti hii imesadia kumkamata charles taylor, sasa mnataka nini. isiwepo? yaani viongozi wa kiafrika wasiwe na wasiwasi wachinje watu tu.

kama mlimsikia profesa waitama wa chuo kikuu cha dsm jana akiongea na bbc, afrika kuna upuuzi mwingi mno kiasi ambacho korti hii ni muhimu. ni afrika pekee utasikia kuwa mtu yuko tayari kufyeka kijiji kizima ili atawale milele, au mtu yuko tayari kuwaua wapinzani wake ili mradi asipate mpinzani, akina bush angalau wanapigana vita kwa maslahi ya taifa lao na si kwa lengo la kubaki madarakani milele
VIVA THE HAGUE!!! KIBOKO YA MADIKTETA
 
Utendaji wa hiyo mahakama ndio unatia mashaka zaidi kuliko warrant ya kumkamata Bashir sababu kuna watu wengi wanakiwa kufika huko lakini mpaka sasa ni wachache sana ndio wamepewa warrant ya kufika huko. hata akifika huko bado ufanisi wa hiyo mahakama unatishaka kwani kesi zinachukua muda mrefu sana kusikilizwa na kutolewa uamuzi.

R. Mugabe, G.W. Bush, Musharaff, Tony Blair, Museveni, Joseph Kony, Kabila, Nhunda, Nkurunzinza, kwa uchache tu walitakiwa kuwa huko kitambo. Lakini utasikia Bashir kama miaka miwili hivi atakamatwa, kesi itakuwa miaka zaidi ya kumi na watamwachia atakuwa keshakuwa mzee sana.
 
Hii court ingekuwepo wakati wa Mandela nae angekuwa arrested,


Wandugu naona mmesahau kua Bashir ni president aliechaguliwa na wananchi, na hawa wa Darfur ni MAREBO kama walivyo kua marebo wengine kule:

Uganda, Koni
Somali, Ashababu, islamic court
Congo, Nkunda, bemba
Afghan, alqaida na Taliban
Iraq, alqaida na wengine
Philipino, moro-fighter
Srilanka, tamil tiger, nk,

hawa wote wanaotumia Violence kukamilisha objectives

Sirikali zote hizo zinapata kila aina ya support kutoka mataifa makubwa, hakuna sababu kwa nini BASHIR asipewe support kuwatokomeza hawa marebo? isitoshe hawa wa Dafur hawana agenda inayoeleweka, Bashiri aliwaitisha vikao vingi hawataki kudhuria wote, kuna vi-group ving hakuna wa kuongea nae

naamini kabisa leo hii ukianzisha urebo Iran utapata support na coverage kubwa na Ahmed Najadi atakua criminal kama Bashir, lakini ukianzisha urebo Tanzania n,k kwa sababu wan maslai, JK atapata full support na silaa nzito za kivita atapata, na ndo maana AU na Arab league hawakubalini na hiyo arrest warrant.


Hii ndo double standard inayo laaniwa duniani kote, tusikubali kuburuzwa, tufanya analysis wenyewe
 
Bashir anatuhumiwa kuhusika na mauwaji ya watu ambao anapaswa kuwalinda! Sioni kwa vipi watu hata wanathubutu kumtetea. Nadhani apelekwe mahakamani ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wa aina kama yake.
 
bashir alifanya yote hayo kwasababu aliona south sudan ina watu wengi zaidi weusi na tena wakristo. ni maadui zake. na, kutokana na asili yake hasa kidini, hakutaka kusumbuliwa na watu hawa waliokuwa wanamchokozachokoza kutaka kujitenga.northern sudan is predomitary muslim. ukweli ni kwamba, udini haujakwepeka hapa. gaudi huyu atakipata cha mtema kuni. he's another saddam hussen of africa.
 
Ukitangaza kumkamata amiri jeshi tayari umesha andaa vita - a standby war - hichi ndicho kilichofanywa na the Hague. Hawatatui tatizo lolote zaidi ya kuzalisha mvutano mwingine wa kisiasa.
The Hague ilionywa juu ya madhara ya hii warranty but they didnt care, sasa as a result mashirika ya misaada Darfur yanafukuzwa moja baada ya jingine kuanzia juzi! Je, hii warranty inasaidia kuboresha hali ya watu wa Darfur?
Nadhani ni vyema tukaangalia kwa mapana kuliko kujali zaidi hisia tulizo nazo. Kwa sababu kwa kufanya papara kama hizi wanaoumia ni watu wa Darfur.
Well, kuna ambao wameshatoa hukumu kuwa Bashir ni muuaji! Hivi sisi si ndio walewale watanzania ambao tunasisitiza kuwa kila mtu yuko innocent until proven guilty?!! sasa inakuwaje hapa tunasahau hili. Tusiyumbishwe na media spins, tutafakari implications za kutangaza kumtafuta Rais wa nchi inayotambulika na UN (Sudan is UN member state).Huyu ana jeshi tukumbuke, ukitangaza kumkamata ina maana unatangaza vita na jeshi la Sudan. Je, kulikuwa na umuhimu wa kufanya hivyo wakati huu. When humanitarian aid to the displaced population in Darfur must be authorised by his government.
Ninaona madhara mengi zaidi kuliko manufaa ya hii warranty!!!
 
Wana JF,

Hivi kweli tuna kumbukumbu sahihi? Eti kuna mwenzetu mmoja nasema Bashir alichaguliwa na wananchi. Wananchi gani hao? Bashir aliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki, alifanya mapinduzi akamuondoa Nimeiri madarakani. Ndio uchanguzi huo?

Kitu kimoja kizuri alichokifanya huyu Bwana na kusaini mkataba wa amani na Southern Sudan (SPLA) otherwise, kwa yale aliyoyafanya Darfur, ICC ni size yake.

Tiba
 
Mkuu ZeMarcopolo,

Kitendo cha kuyafukuza mashiriki yasiyokuwa ya kiserikali kule Darfur ni sawa na kuendeleza mauaji kwa raia wa Darfur. UN agencies zote zilizoko Sudan haziwezi kufanya kazi yoyote bila hizi NGO kuwepo kwani hawa ndio wanaitwa implementing partners.

Hiki ni kitendo ambacho si cha busara hata kidogo na kwa kufanya hivyo ameendelea kuonyesha ni jinsi gani asivyoijali na kuithamini Darfur kwani wanaoandamana ni wale wa Khartoum ambao wanachukua lion share ya pato la taifa. Kama Bashir angekuwa na busara, basi asingechukua hatua ya kuzifukuza NGO hata kidogo.

Huyu, bila kujali kama yuko madarakani, ICC ni size yake muuaji mkubwa huyu. Kama unataka kuona ushahidi ndio umhukumu Bashir basi tembelea South Sudan, pitia Khartoum and then nenda Darfur uone kwa macho yako ndio utajua kinachosemmwa.

Tiba
 
Wana JF,

Hivi kweli tuna kumbukumbu sahihi? Eti kuna mwenzetu mmoja nasema Bashir alichaguliwa na wananchi. Wananchi gani hao? Bashir aliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki, alifanya mapinduzi akamuondoa Nimeiri madarakani. Ndio uchanguzi huo?

Kitu kimoja kizuri alichokifanya huyu Bwana na kusaini mkataba wa amani na Southern Sudan (SPLA) otherwise, kwa yale aliyoyafanya Darfur, ICC ni size yake.

Tiba


Na uchaguzi mwingine unafanyika Jul/09 (mwaka huu), inaonekana bashiri atashinda kwa sunami. Hii nisirikali na wale wa Darfur nimarebo kama vile Taliban, Lord resistant army na wengineo.

Hawa watu wa Darfur hawana sera, wanaleta matatizo Sudan na Chad pia, ndo maana TZ, NEGOTIATOR, Salim Ahmed Salim na wa Afrika wote hawakubaliani na hii court decisions
 
Mshike mshike. Huko nyuma niliwahi kusema kuwa... (kwenye thread ya The War Crimes Charges Against Al Bashir)

Nimefurahi tu-na Mwendesha Mashitaka!- Hii itaweza kuleta vuta ni-kuvute ya U es of A na Xinhua! Hatima yake yaweza kubadilisha maadili ya Uongozi usoni!

Sasa tunweza kuona wale ambao wanatetea!
Matarajio yangu ni kuwa huu ni mwanzo mzuri wa sheria kufuata mkondo, hata ukiwa nani.

Kingine ni kuwa, karibu wanaweza kukutana lupango na Kony wa Uganda.

Atanaye.
 
Back
Top Bottom