Darvon
Member
- Apr 14, 2018
- 93
- 74
Salama wakuu?
Kwenye simu yangu leo hii mida ya saa tano amepiga simu mtu akiniuliza naitwa nani natokea wapi nina kiasi gani cha pesa, kwa kuwa si mara ya kwanza kupigiwa simu na matapeli wa aina hii nilidanganya kila kitu mpaka kiasi kilichomo kwenye mpesa nikasema nina 50000/-. Ili nione atafanyaje.
Ndipo aliponitumia sms ambayo inaonesha imetoka kwa namba binafsi na wala sio muamala wa Mpesa halafu akapiga simu kuwa eti nirudishe pesa! Nilichomjibu ndicho hapo chini.
Namba ya tapeli +255 757 695 978
Matapeli wamekuwa na tabia ya kutuma pesa kuzichanganya na zako katika account halisi ya mpesa, kwa kuwa sio mara ya kwanza kupigiwa na matapeli wa hivi nilidanganya nikijua Mpesa yangu haina salio.
Huo mchezo unafanywa siku hizi sana tuwe makini ndugu!
Mchana mwema.
Kwenye simu yangu leo hii mida ya saa tano amepiga simu mtu akiniuliza naitwa nani natokea wapi nina kiasi gani cha pesa, kwa kuwa si mara ya kwanza kupigiwa simu na matapeli wa aina hii nilidanganya kila kitu mpaka kiasi kilichomo kwenye mpesa nikasema nina 50000/-. Ili nione atafanyaje.
Ndipo aliponitumia sms ambayo inaonesha imetoka kwa namba binafsi na wala sio muamala wa Mpesa halafu akapiga simu kuwa eti nirudishe pesa! Nilichomjibu ndicho hapo chini.
Namba ya tapeli +255 757 695 978
Matapeli wamekuwa na tabia ya kutuma pesa kuzichanganya na zako katika account halisi ya mpesa, kwa kuwa sio mara ya kwanza kupigiwa na matapeli wa hivi nilidanganya nikijua Mpesa yangu haina salio.
Huo mchezo unafanywa siku hizi sana tuwe makini ndugu!
Mchana mwema.