Tusiwe watu wakulamu tu,kuna makabila kama ya wakulya(ambalo ndilo langu),usipompiga mkeo hiyo inamaanisha huna upendo kwa mkeo,kutokanana hali hiyo atafanya kila njia kusudi umuezeke makofi,nabaada ya hapo upendo unaongezeka ndani ya nyumba,maana ukiwa umemtandika sawasawa itabidi uanze kukumbebeleza na kumpeleka hospital na kumjulia halikila mara,na hilo ndilo alilo kuwa analitaka,nasema hivyo maana mimi ni kabila hilo na huwaga mke wangu,akitaka tuwe karibu zaidi,huwa anatafuta sababu za mimi nimuezeke makofi,hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu(Mara boys and our neighbors).