Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...hizi ni mila au desturi?
View attachment 4280
View attachment 4281
View attachment 4282
View attachment 4283
View attachment 4284
...Kwanini inakuwa hivi? (jadili)
...Kwa mantiki hiyo siwezi na wala sitakaa nimpige mke wangu, kama ni kupishana kwa maneno is ok ni kawaida kwani si kila kitu nakubaliana naye ila at the end of the day nii lazima to compromise.
haya ndio madudu aliofanya criss brown.....kitu changu jinsi kinavyodeka siku hata nikimfokea nafikiri lazima azirai.....mwanamke anahitaji apendwe adekezwe unampa magumi.....
Lol wanaJf huyu Enika angekuwa demu wangu kwanza ningemchapa viboko kwa kuchemsha kuvaa alafu naomba likizo miezi 6 kumfundisha kuvaa....damn
...kwa muono wako, wakati gani 'unaweza' kumtandika mkeo?
Huu ni uonevu na unyanyasaji kwa mwanamke. Na hii yote kwa sababu tu mwanamke kuwa tegemezi kwa mwanaume. Umefika wakati tuache kuwa tegemezi hapo mwanaume atakuheshimu. Haki ya ww siwezi kuishi maisha ya namna hii ya kupigwa hata kama nimetolewa mahari mamilioni ya pesa.
Niliwahi kuambiwa kuna kabila moja kule TZbara nilazima mke na mume mfukuzane kama vile kuku huku mkiviringishana mwisho tena ndio ule mchezo wa Baba unapatika, sasa kwa hizo picha za hapo juu zinavyoonekana ni moja ya hizo mila zao.
Tusiwe watu wakulamu tu,kuna makabila kama ya wakulya(ambalo ndilo langu),usipompiga mkeo hiyo inamaanisha huna upendo kwa mkeo,kutokanana hali hiyo atafanya kila njia kusudi umuezeke makofi,nabaada ya hapo upendo unaongezeka ndani ya nyumba,maana ukiwa umemtandika sawasawa itabidi uanze kukumbebeleza na kumpeleka hospital na kumjulia halikila mara,na hilo ndilo alilo kuwa analitaka,nasema hivyo maana mimi ni kabila hilo na huwaga mke wangu,akitaka tuwe karibu zaidi,huwa anatafuta sababu za mimi nimuezeke makofi,hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu(Mara boys and our neighbors).