Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Kuna jamaa yangu ameingizwa mjini $2000 za kimarekani kupitia credit card yake nchini Japan.
Huyu jamaa yuko bongo na credit card yake ni ya benki fulani kubwa hapa bongo, na yeye hajawahi kusafiri kwenda Japan hata siku moja lakini credit card yake imetumika kutolea kiasi hicho huko Japan!!!!!
Onyo: Kuna watu ambao kazi zao ni ku-hack ATMs, credit cards, etc kwahiyo kuweni makini na vitu kama hivi!
Mara unapohisi kwamba ATM au credit card yako imetumika bila wewe kujua basi wasiliana na benki yako mara moja ili uweze kuzuia wahalifu hao wasiendelee kuchota bingo zako!
Huyu jamaa yuko bongo na credit card yake ni ya benki fulani kubwa hapa bongo, na yeye hajawahi kusafiri kwenda Japan hata siku moja lakini credit card yake imetumika kutolea kiasi hicho huko Japan!!!!!
Onyo: Kuna watu ambao kazi zao ni ku-hack ATMs, credit cards, etc kwahiyo kuweni makini na vitu kama hivi!
Mara unapohisi kwamba ATM au credit card yako imetumika bila wewe kujua basi wasiliana na benki yako mara moja ili uweze kuzuia wahalifu hao wasiendelee kuchota bingo zako!