Warning: Credit card/ATM users

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
Kuna jamaa yangu ameingizwa mjini $2000 za kimarekani kupitia credit card yake nchini Japan.

Huyu jamaa yuko bongo na credit card yake ni ya benki fulani kubwa hapa bongo, na yeye hajawahi kusafiri kwenda Japan hata siku moja lakini credit card yake imetumika kutolea kiasi hicho huko Japan!!!!!

Onyo: Kuna watu ambao kazi zao ni ku-hack ATMs, credit cards, etc kwahiyo kuweni makini na vitu kama hivi!

Mara unapohisi kwamba ATM au credit card yako imetumika bila wewe kujua basi wasiliana na benki yako mara moja ili uweze kuzuia wahalifu hao wasiendelee kuchota bingo zako!
 
Mara unapohisi kwamba ATM au credit card yako imetumika bila wewe kujua basi wasiliana na benki yako mara moja ili uweze kuzuia waharifu hao wasiendelee kuchota bingo zako!


Waharifu unamaanisha WAHALIFU?
 
hivi wakishakuibia ukiripoti benki husika wanaweza kuwakamata kweli na kurudishiwa pesa zako zilizoibwa msaada pls
 
Tunashukuru kwa taarifa. Tunaomba jina la benki maana mabenki makubwa hapa nchini ni mengi.
 
hivi wakishakuibia ukiripoti benki husika wanaweza kuwakamata kweli na kurudishiwa pesa zako zilizoibwa msaada pls

Ni ngumu kaka, kwani hao watu wanaiba si kwenye bank tu, hata madukani, hotels nk. Wanakuwa wanalipa kwa credit cards. Kumbe yako ndio inatumika.. Asante Mkubwa.
 
Ni ngumu kaka, kwani hao watu wanaiba si kwenye bank tu, hata madukani, hotels nk. Wanakuwa wanalipa kwa credit cards. Kumbe yako ndio inatumika.. Asante Mkubwa.
Ni ngumu sana ila siku moja litawatokea puani...za mwizi 40...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom