Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,877
Taarifa imetolewa kuwa barabara ya kwenda Arusha kutokea Dar eneo la Same haifai kwa nyakati za usiku kwa wakati huu kwani imekumbwa na mafuriko. Tafadhali kama una ndugu au jamaa anasafiri usiku mfahamishe asifanye safari usiku kwani anaweza kusombwa na maji ama kukumbwa na dhahma.
Shukrani kwa kusoma na kuusambaza ujumbe
Shukrani kwa kusoma na kuusambaza ujumbe