Kilio cha Madaktari sasa kimesikika baada ya Wabunge kuwaunga mkono na kumshinikiza waziri asiyefanya kazi ajiuzuru. Lakini hii haitoshi kwa kuwa alisababisha watu wengi kufariki kwa uongozi wake mbovu na kukataa kujiuzuru tunaomba wanasheria waangalie uwezekano wa kumshitaki huyu mtu.