Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
Nimeogopa sana na kusikitika baada ya kupokea taarifa kuwa mwana mama mmoja alikuwa salon ktk matumizi ya draya gafla akajiskia vbaya kupelekwa hospital wakagundua fuvu lake limepasuka kwa sababu ya ule moto,na hivi sasa ni marehemu R.i.p