Warembo wanaojijua ni warembo haswa wengi lesbians

Warembo wanaojijua ni warembo haswa wengi lesbians

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Warembo bhana wamejiwekea classes
1.warembo wa kawaida(huwa hata hawajijui ni warembo)
2.warembo wanaovutia (ila wanaelewana na watu,wanafaa kuwa marafiki)
3.Warembo waliopitiliza (wamejiwekea class wanajijua wao)

Usishangae girls kuitana baby,honey,mme,kama utani vile ila wengine ni wapenzi kweli.

Hiyo class ambayo wanajihisi ni warembo waliopitiliza ogopa sana,usije ukadondokea ukapenda,atakutesa bure kujifanya yupo expensive kumbe,huwa wanajifanya expensive ila kuna mengine.

Mrembo mkali hawezi kukaa single mda wote.

weekend inaendelea

 
''Yes, pride goes before a fall I've got a feel​ing, ........ Ain't it funny how pride goes before a fall?'' Jim Revees.
 
Last edited by a moderator:
''Yes, pride goes before a fall I've got a feel​ing, ........ Ain't it funny how pride goes before a fall?'' Jim Revees.

tafsida hiyo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa.. kati ya wimbo ambao huwa nikizisikiliza nacheka jamaa anavyoizungumzia huo mkasa wake.

Any way. Kwa mtazamo wangu, naonaga mtu anayejijua ana uzuri fulani, then akawa mnyenyekevu hio sifa huonekana mara mbili ya yule anayeishi kwa kutembea kifua wazi na hio sifa yake ya uzuri au mali au vyovyote. Nawakubali sana watu wenye unyenyekevu, watu ambao utu wao na haiba yao inatangulia mbele ya mali, kazi au uzuri alio nao.

Naamini ukiwa na kitu ukakionesha makusudi kwa lengo la kuonekana, hakika hakitaonekana unavyotaka kionekane ila watu wataona kilicho nyuma ya unachotaka waone.

Kwa mnaojijua na kujitambua kuwa mna sifa ya ziada, Keep it low, Be gentle and humbe to yourselves, let all that you have speak for themselves.

Kwa huo uchunguzi wako, sina uhakika wowote kwa sasa, naomba tu niishie hapa Mkuu Viol

tafsida hiyo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa.. kati ya wimbo ambao huwa nikizisikiliza nacheka jamaa anavyoizungumzia huo mkasa wake.

Any way. Kwa mtazamo wangu, naonaga mtu anayejijua ana uzuri fulani, then akawa mnyenyekevu hio sifa huonekana mara mbili ya yule anayeishi kwa kutembea kifua wazi na hio sifa yake ya uzuri au mali au vyovyote. Nawakubali sana watu wenye unyenyekevu, watu ambao utu wao na haiba yao inatangulia mbele ya mali, kazi au uzuri alio nao.

Naamini ukiwa na kitu ukakionesha makusudi kwa lengo la kuonekana, hakika hakitaonekana unavyotaka kionekane ila watu wataona kilicho nyuma ya unachotaka waone.

Kwa mnaojijua na kujitambua kuwa mna sifa ya ziada, Keep it low, Be gentle and humbe to yourselves, let all that you have speak for themselves.

Kwa huo uchunguzi wako, sina uhakika wowote kwa sasa, naomba tu niishie hapa Mkuu Viol


hii nyimbo imenifanya nifikiri,nadhani wanamziki au wasanii wanaoongea real life walizokumbana nao huwa wanagusa hisia za watu.
 
A vague conclusion that does not hold any water. Baseless hearsay and immature. Clearly depicts lack of confidence.
 
Viol habar za tabata kaka
 
Last edited by a moderator:
...mie hata wale warembo wenye tabia ya kuita kila mtu ''sweetie, honey, my love et al'' naona wako tofauti kidogo.
mtu m'mekutana jana, unasikia honey...hahaha!
 
A vague conclusion that does not hold any water. Baseless hearsay and immature. Clearly depicts lack of confidence.
sound so good!
same concept applied
 
...mie hata wale warembo wenye tabia ya kuita kila mtu ''sweetie, honey, my love et al'' naona wako tofauti kidogo.
mtu m'mekutana jana, unasikia honey...hahaha!
heri uitwe wewe,wengine wanaitana wenyewe sweetie,bby lazima kuwa makini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom