Straddler JF-Expert Member Sep 9, 2009 722 191 Feb 2, 2012 #1 Wenyewe wametinda nyusi na kupaka lipstick.:lol: ..... .....
THE STRONG Senior Member Jan 21, 2012 107 20 Feb 2, 2012 #2 baaba hapa noma lazma ujiandae kuwa kibogoyo:lol:
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Feb 2, 2012 #3 hahahaaaaa waremba au warembo???? dah nomaaaa
Ambitious JF-Expert Member Dec 26, 2011 2,144 875 Feb 2, 2012 #4 Huyu wa kushoto ana vi-container shingoni unaweza hifadhi lita moja ya maji.
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Feb 3, 2012 #6 Mamaaa!! Hao warembo au mabaunsa? wamekomaa kama komndo kipensi
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Feb 3, 2012 #9 hivi unakuta kaolewa kabisa?
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Feb 6, 2012 #11 ndetichia said: still their gals... Click to expand... Mkuu andika tu lugha ya taifa...hakuna atakae kucheka Jamani msisshangae, kuna watu wanapenda hiyo mithupu sioni tatizo
ndetichia said: still their gals... Click to expand... Mkuu andika tu lugha ya taifa...hakuna atakae kucheka Jamani msisshangae, kuna watu wanapenda hiyo mithupu sioni tatizo
Mmasihiya JF-Expert Member Dec 2, 2011 389 170 Feb 6, 2012 #12 Ina maana wanafanya na mazoezi ya uso?
MGAWARIZIKI JF-Expert Member Dec 16, 2010 305 47 Feb 6, 2012 #14 Aaa! ushaniharibia pozi mambo gani haya sasa hao ni warembo au madume hayo?
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,513 19,998 Feb 6, 2012 #16 huyo wa katikati naweza kuvinjari naye...ana mvuto