Warembo chagueni moja basi

Warembo chagueni moja basi

Tatizo watt wa kike hawapendi hivyo
Ata sie wanaume hatupendi pale ambapo huna hela basi hawataki kukusikia kabisa...we have learned to live with that...no money no honey.

Wao pia wajifunze kuishi na kanuni yetu ya more money more honey.
 
Sasa kwa nini ulikuwa hutaki kwenda naye safari?
Ni kweli kabisa. Nilishawahi kuwa na mtu alikuwa busy hatari....siku kama mimi niko free ananiambia njoo mjini tupate lunch pamoja. Nikifika pale naweza kusubirishwa hata lisaa ila mwisho wa siku tunapata hata nusu saa ya kuwa pamoja. Na baadhi ya safari za kikazi alikuwa anataka twende wote ila mimi sikuwa nataka tu
 
Achana na mtoa mada, ndio zake kukuza mambo na kukatisha tamaa watu waone mambo fulani hayawezekani wakati ni marahisi tu
Kwahio mi nakuza mambo sio 😂😂😂 subiri nirudi hapo nyumbani leo! Huwez kunletea mdomo kwenye midia!
 
Ni kweli
Ata sie wanaume hatupendi pale ambapo huna hela basi hawataki kukusikia kabisa...we have learned to live with that...no money no honey.

Wao pia wajifunze kuishi na kanuni yetu ya more money more honey.
kabisaa, si uwongo
 
Kwahio mi nakuza mambo sio subiri nirudi hapo nyumbani leo! Huwez kunletea mdomo kwenye midia!
Utarudi saa ngapi na uko bize kusaka chapaa...we pambana baba tutaonana mwakani, usisahau kunitumia ile milioni baby
 
Ningeenda naye tu kwa sababu ya kuwa na muda mzuri na yeye and not otherwise. Mnyaki najiamini zaidi ya mwanamke mwenye kalio; mjuba ananisaidia mwenyewe kujilinda, maana akinikumbuka tu, hata kama alikuwa anataka kuomba namba anaghairi.
Khantwe anajiamini bana ila wewe ungetaka uende ili umchunge eti kama ana videmu vyengine
 
Ukiwaelewa hao ujue unakaribia kufa..😂😂😂.

'Men' tufanye kulingana na uwezo wote.
Halafu anakuja mpuuzi na kusema wanaume tuwe sawa kama wanawake na tukubali kufilwa (kuwa wasenge) , mwisho wa siku anakimbilia Ubelgiji kupakatwa. Walimwengu kwa usanii bwana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom