Ndio hapa utakuta ukiwa na hela sana demu wako anagongwa na wachovu,usipokuwa nazo anagongwa na mapedeshee.Yaani vurugu tupu!Women are always looking for what u don't have
Over ndo maana ata wao hawajui wanataka nn
Fake ass motherfuccn Orgasm 😂😂😂Muda wa kuchangua kimoja ndo sina basta usinichoshe😅
View attachment 1638703
Hahahah akili za wanawake huwa fupi sana yani 😂😂😂!!! Sema mademu wenye njaa njaa ndio wako hivyo. Wao wanahisi hela ndio kitu wanakosa so watavumilia mistreatments zote as long as hela ipo.Watakuambia kulia kwenye vanguard ni nafuu kuliko kulilia kwenye bajaji![]()
Hahahaha kwahio heri lawama kuliko fedhea hapo. Umekamilisha msemo straight away.Anataka umpe mda wako huku anahitaji pesa,ukisema umpe muda basi unapisha nadeal ya kukuingizia hela atalamika humpi hela,ukitafuta hela bado atalamika humpi muda/humjali.
Ila yote kwa yote kwa mwanaume cha msingi ni kutafuta hela.
Kwa kifupi hawajui wanataka nini.
Mapenzi ni mara moja kwa mwezi hivi tena ile quickie...kimoja cha fasta mtu anapita zake hivi! Hana muda wa kukubebisha kitandani.Hana muda na mimi kabisa?? Yaani kabisa? Hayo mapenzi tunafanyaje sasa
Nimejikuta vidole vimeandika "njoo kwangu"Hana muda na mimi kabisa?? Yaani kabisa? Hayo mapenzi tunafanyaje sasa
Jambo lolote hata liwe zuri kiasi gani ukikosa kuwa na kiasi ni tatizo...hata uwe busy kiasi gani haitakiwi ukose kabisa muda wa kuspend na wale uwapendao, hata kama mnapata nafasi mara moja kwa mwezi nafasi hiyo inatakiwa itumike effectively, hata hivyo ni kazi gani hizo mtu usipate hata muda wa kurelax? Umepewa jukumu la kuipeleka tz uchumi wa kati wewe peke yako?Mapenzi ni mara moja kwa mwezi hivi tena ile quickie...kimoja cha fasta mtu anapita zake hivi! Hana muda wa kukubebisha kitandani.
Ila yule ambaye hana mishe ndie ana muda na wewe na ndie ambaye anaweza kukunyegeza kwa maneno matamu mkafanya romantic sex almost kila mda mkijiskia genye tu.
Unamchagua yupi sasa hapo?
Wewe una muda au una pesa? Maana kwa mujibu wa mtoa mada huwezi kuwa navyo vyote viwiliNimejikuta vidole vimeandika "njoo kwangu"
Sijui kiwango gani cha hela ukiwa nazo ndio unakuwa na pesa.. Naweza sema nina pesa kumbe sijafikia kiwango cha kuwa na pesa...Wewe una muda au una pesa? Maana kwa mujibu wa mtoa mada huwezi kuwa navyo vyote viwili


Kama unapata mahitaji muhimu ya binadamu bila wasiwasi na ukaweza kuwapa na wengine mahitaji yao tunahesabu unazoSijui kiwango gani cha hela ukiwa nazo ndio unakuwa na pesa.. Naweza sema nina pesa kumbe sijafikia kiwango cha kuwa na pesa...
Muda ninao, ila pesa sina uhakika walai..
.
Nadhani pia mtoa mada kahukumu vibaya, kuna watu wana pesa na shughuli zao sio za kukosa muda 24/7
Kama ni hivyo ninazo za kutosha na muda pia ninao wa kutosha.Kama unapata mahitaji muhimu ya binadamu bila wasiwasi na ukaweza kuwapa na wengine mahitaji yao tunahesabu unazo