Huyu mzee naye amefulia si ni yeye aliyepokea uchache wa Rosti ya Azizi huyu. Asituchanganye hapa, nimeishamtoa katika orodha ya wapambanaji wazuri
Bwana Nyati tupe proof kama Rostam alimpa kitu kidogo,pia ilikuwa ni shilling ngapi na lini!
Hii ni thread ya kuomba waraka na si kutafuta CV za mtu.
PLS mwenye waraka auweke hapa tuusome tujue kilichomo ndani yake.
kwa yeyote aliyebahatika kuusoma au kuupata walaka unaodaiwa kutolewa na rev. mtikila na polisi kusema una chochea machafuko naomba auwasilishe hapa watu wapime kama yanayoongelewa ni uchochezi au ndo hali halisi ya nchi yetu.
Huu ni ubishi sasa! liko waazi hili na wote walikiri kupeana pesa, sasa wewe unataka mtu akariri tarehe, suti aliyo vaa n.k!!Bwana Nyati tupe proof kama Rostam alimpa kitu kidogo,pia ilikuwa ni shilling ngapi na lini!