RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,621
- 3,939
Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana.
Usiku mwema.
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana.
Usiku mwema.