Ras Kisuse
JF-Expert Member
- Sep 25, 2012
- 368
- 31
pia wasira atueleze ni kwanini anachukua ela Tacaids kila mwezi.
Mmmh kweli bongo kuna mambo
pia wasira atueleze ni kwanini anachukua ela Tacaids kila mwezi.
Asante mkuu, umebarikiwa ktk kutukana watu, mchunguze vizuri huyo unayemuabudu utajua kama una haki ya kutukana watu eti ------,! Lipi jema kukueleza ukweli au kumpakazia Bint wa watu eti Msagaji! Kisa nini hasaa? Ubunge au ? Tz haitaji rais anayewatusi wananchi wake kisa anampinga tena kwa hoja safi na za kujipima. Tunakumbuka alichosema Mwalimu 1995 Bunda, kuwa kati ya hawa wawili Joseph Warioba ni bora sana lakini kwa ulevi wa gongo mkalishwa rushwa mkamdondosha Joseph.
Mwambieni asipoteze muda hafai kwa mboga wala kiungo chochote. CCM ina hazina kubwa huyu hakuwahi kuwa mmoja wao na hatakuwapo....,
Sasa kama wewe shabiiki uko hivyo tutarajie nini mkipewa tena fursa? Kuwa mstaarabu
Hayo yote ni matokeo ya kiongozi DHAIFU kumuweka mtu muongo kama mshauri wake; ukaribu wake na viongozi wa hapo Magogoni unamfanya nae aamini kuwa anafaa kuwa mpangaji pale!!
Jamani waraka upo na Mwananchi wamejikongoja kuuweka hadharani.....huu ndio msimu wa kuufahamu ukweli. Nyerere ndie aliyemkimbiza Wasira na si Warioba kama kumbukumbu zetu ziko sawa....1995, ni sawa na Slaa alivyokimbizwa na Mwinyi 1995 pale alipomtaka Qorro ....fact hizi si za kubezwa, Slaa alipinga NEC akagomewa ikabidi atumie haki yake nje ya CCM na akasimamia haki hiyo. Wassira hakufanya hivyo na kibaya zaidi alitumia rushwa ktk kupata ushindi wake....akabainika mahakamani pia. Sasa kuendelea kutudanganya eti alionewa ilihali alikosea mwenyewe, asiyesikia la mkuu huvunjika mguu, kama wengi hamuamini huu waraka utamuumiza Wassira mbele ya safari. Akubali tu amepewa second chance kimagumashi imetosha....kung'ang'ania tena 2015 ni kusaka unhealthy downfall. Ukiiba bila kuonwa...bila kuhisiwa...basi shukuru kuwa umekula na vipofu imetosha. Funika kombe.....
siyo kutukana watu
Jamani waraka upo na Mwananchi wamejikongoja kuuweka hadharani.....huu ndio msimu wa kuufahamu ukweli. Nyerere ndie aliyemkimbiza Wasira na si Warioba kama kumbukumbu zetu ziko sawa....1995, ni sawa na Slaa alivyokimbizwa na Mwinyi 1995 pale alipomtaka Qorro ....fact hizi si za kubezwa, Slaa alipinga NEC akagomewa ikabidi atumie haki yake nje ya CCM na akasimamia haki hiyo. Wassira hakufanya hivyo na kibaya zaidi alitumia rushwa ktk kupata ushindi wake....akabainika mahakamani pia. Sasa kuendelea kutudanganya eti alionewa ilihali alikosea mwenyewe, asiyesikia la mkuu huvunjika mguu, kama wengi hamuamini huu waraka utamuumiza Wassira mbele ya safari. Akubali tu amepewa second chance kimagumashi imetosha....kung'ang'ania tena 2015 ni kusaka unhealthy downfall. Ukiiba bila kuonwa...bila kuhisiwa...basi shukuru kuwa umekula na vipofu imetosha. Funika kombe.....
siyo kutukana watu
Kaka naona unatumika kisawa sawa, hapa jukwaani miaka miwili iliyopita, wakati huo bado ni msomaji tu makala nyingi za matusi na kejeli zilitungwa na kumponda Wassira, lakini ajabu umaarufu wake na sifa zake zinazidi kuongezeka, sasa hujiulizi kwanini?Dalili kubwa kabisa ya kwamba CCM mambo siyo mazuri, ni ile hali ya kuwategemea watu wenye utata mwingi, watu wasiokuwa na chembe yoyote ya ushahidi kwamba wana hekima na busara. Huwa namsikiliza sana ndugu Wasira, jinsi anavyojenga hoja zake, anavyotoa hotuba zake. inasikitisha kwa kweli mtu aliyejaliwa umbo kubwa kama lile, angekuwa ni mtu mwenye busara na hekima, angefaa sana katika siasa. lakini kwa kweli ni tatizo kubwa. katika kampeni za CCM huwa anajitambulisha kama "kiboko ya CHADEMA", kwa kumaanisha kwamba CHADEMA ni tatizo kubwa sana kwa ccm. lakini nikiangalia sana sana mikakati ya Wasira katika kuibomoa CHADEMA ni katika kutabiria CHADEMA kifo, pengine kwa kuzusha "ugaidi" katika CHADEMA, na kuwashambulia viongozi wake kwamba ni "mashetani" au "mapepo". sioni zaidi ya hilo.
Katika jitihada zake za kufukia madhambi yake huko nyuma, hapo ndipo Wasira ameonekana kabisa kwamba hana busara. hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kuchagua kupita njia inayopita karibu na mzinga wa nyuki, kisha akawachokoza na kuendelea na safari yake huku anapiga mluzi? maana Warioba alimwangusha Wasira "comprehensively" - CHALI!! - na zaidi ya hapo katika kesi alithibitika kuhonga na akapewa adhabu. sasa kumbukumbu kama hizi alitakiwa kuziepuka kabisa. yeye hakutakiwa kabisa kumshambulia Warioba, maana hapo ndipo uvundo wake wote ungekuwa hadharani. angeanzisha chaneli tofauti kabisa ya harakati zake na mikakati yake. sasa alivyokuwa zoba, mradi kaona kila mtu anamshambulia Warioba, kwamba kumtukana Warioba ndio "habari ya mujini" naye kajitumbukiza huko. Kubwa jinga? Hovyo!
Kaka naona unatumika kisawa sawa, hapa jukwaani miaka miwili iliyopita, wakati huo bado ni msomaji tu makala nyingi za matusi na kejeli zilitungwa na kumponda Wassira, lakini ajabu umaarufu wake na sifa zake zinazidi kuongezeka, sasa hujiulizi kwanini?
Unadhani haya ni Matusi mapya?
Wassira ana kipaji, na amebarikiwa kuijua siasa, kwenye ushindani kama huu mnaojaribu kuufanya yeye huibuka mshindi.
Yeye ni sawa na gogo la udi ukilichoma ndio linazidi kunukia.
Warioba atabaki kuwa MWAMBA wa Taifa hili! Kwa kusema ukweli pasi na unafiki, amekuwa mtume mwema na mwaminifu. Wezi, wahafadhina, walafi, viwavi, wavivu na wapuuzi watamuona J S Warioba kama shubiri na mwiba juu ya ulafi wao! Asante Warioba. Taifa bado linakuhitaji iwe ndani ama nje ya ccm.
Asante mkuu, umebarikiwa ktk kutukana watu, mchunguze vizuri huyo unayemuabudu utajua kama una haki ya kutukana watu eti ------,! Lipi jema kukueleza ukweli au kumpakazia Bint wa watu eti Msagaji! Kisa nini hasaa? Ubunge au ? Tz haitaji rais anayewatusi wananchi wake kisa anampinga tena kwa hoja safi na za kujipima. Tunakumbuka alichosema Mwalimu 1995 Bunda, kuwa kati ya hawa wawili Joseph Warioba ni bora sana lakini kwa ulevi wa gongo mkalishwa rushwa mkamdondosha Joseph.
Mwambieni asipoteze muda hafai kwa mboga wala kiungo chochote. CCM ina hazina kubwa huyu hakuwahi kuwa mmoja wao na hatakuwapo....,
Sasa kama wewe shabiiki uko hivyo tutarajie nini mkipewa tena fursa? Kuwa mstaarabu
Huna hoja kwenda Huko kajipange upya
Waraka wa Warioba ni mzuri.
Bila shaka Mr Tyson anatafuta pa kutokea. Warioba ni mwanachama wa CCM si CCM! Kama kungekuwa na tatizo kipindi hicho, basi angepeleka malalamiko CCM na si kukimbia chama. Ni aibu kwa mtu anayehamahama kwenye vyama akagombea nafasi ya urais kama vile hamna waadilifu na wakereketwa ndani ya chama.
Bila shaka anaposisitiza kuwa UKAWA warudi kwenye vikao vya BMK angetakiwa kujua kuwa hiyo principle ilikuwepo ndani ya CCM tangu enzi hizo za Warioba. Na alichotakiwa kukifanya ni kujisalimisha kwenye chama na si kwenda NCCR.
Anjo
Warioba atabaki kuwa MWAMBA wa Taifa hili! Kwa kusema ukweli pasi na unafiki, amekuwa mtume mwema na mwaminifu. Wezi, wahafadhina, walafi, viwavi, wavivu na wapuuzi watamuona J S Warioba kama shubiri na mwiba juu ya ulafi wao! Asante Warioba. Taifa bado linakuhitaji iwe ndani ama nje ya ccm.
Poor @Wasira acha wanabunda waungane na bulaya may be watasonga atleast, Wasira ameshindwa kuimanage Bunda ataweza nchi? This old man is undergoing mind decay.
Hii ndio Jf yetu, tuko tayari kuhukumiwa kwakuwa wakweli na si kuwatukuza watu wabovu kwa sababu ya ulinzi wa matumbo yetu kama Ras aliyekubuhu kutukana akidhania yeye ndie wa kwanza kutukana.
huyu binadamu anayeitwa Wassira kwa nini anajipa shavu sana siku hizi?
Kutoka maktaba: Warioba looses seat
Minister for Regional Administration and Local Government and former Prime Minister and First Vice-President, Joseph Warioba, lost his Parliamentary seat in October after the nullification of last years election results in the Bunda constituency. Declaring the seat vacant before a packed Musoma Cultural Centre audience, the Chairman of the Electoral Commission said the complainant who had opposed him in the election, Mr Ramadhani Mkondya, had not been afforded a fair and equal opportunity to be elected by Bunda District CCM Political Committee. Counsel for Mr Warioba had submitted that, as Prime Minister, he was entitled to ceremonial privileges inherent in his post. The complainant said that Warioba had used Party and Goverment machinery to influence voters.
In mid-December it was announced that Mr Warioba was one of five candidates hoping to re-contest the seat in the forthcoming by election.
SOURCE: http://www.tzaffairs.org/1992/01/warioba-loses-seat/
Ubunge wa Warioba ulitenguliwa kwasababu ya kutumia Madaraka vibaya kwa tafasiri rahisi ni Rushwa 100% Warioba alikiri kutumia gari la waziri Mkuu, shame on him.
Kutoka maktaba: Warioba looses seat
Minister for Regional Administration and Local Government and former Prime Minister and First Vice-President, Joseph Warioba, lost his Parliamentary seat in October after the nullification of last years election results in the Bunda constituency. Declaring the seat vacant before a packed Musoma Cultural Centre audience, the Chairman of the Electoral Commission said the complainant who had opposed him in the election, Mr Ramadhani Mkondya, had not been afforded a fair and equal opportunity to be elected by Bunda District CCM Political Committee. Counsel for Mr Warioba had submitted that, as Prime Minister, he was entitled to ceremonial privileges inherent in his post. The complainant said that Warioba had used Party and Goverment machinery to influence voters.
In mid-December it was announced that Mr Warioba was one of five candidates hoping to re-contest the seat in the forthcoming by election.
SOURCE: http://www.tzaffairs.org/1992/01/warioba-loses-seat/
huyu binadamu anayeitwa Wassira kwa nini anajipa shavu sana siku hizi?
Anayekutumia amekuharibu ubongo wako, sasa unawaza kama yeye, pole.
Kamwambie Wassira hana kashfa hata moja, hayo yote mnajitahidi kutunga kumchafua Rais wa Watanzania mtarajiwa.