Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Wakuu,
Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa ccm imekiri kuwa Chakula cha njaa iliwasaidia kushinda Igunga. Gazeti hilo limenukuu waraka no 4 wa idara ya oganizesheni uliowasilishwa ktk mkutano wa NEC ulioisha hivi karibuni Dodoma.
Waraka wenyewe unasema, kama ulivyonukuliwa na gazeti
Ktk Muda huo wa kampeni, Serikali ilipeleka mahindi ya msaada tani 1000 kiasi ambacho ni kidogo sana kulinganisha na mahitaji. Jambo hili kwa upande moja liliweza kupunguza kura za ccm kwenye maeneo ambako chakula hakikufika.
Waraka pia unasema kutotekelezwa kwa ilani ya ccm na ahadi za viongozi kwa upande mwingine pia ilichangia kushuka kwa kura za ccm, mfano kutojengwa daraja la Mto Mbutu.
My take,
Kwa kuwa kura zilipungua mahali ambako chakula hakikufika, kwa hiyo ccm iongeza chakula penye njaa ili kura iongezeke? Ndiyo mbinu bora ya ushindi?
Kwa kuwa hiki ni Chama dola, nini hatma ya nchi yetu?
Je, hii itakuwa ni kuhalalisha hoja kwamba CCM ilishinda kifisadi?
Kama jitihada zote hizi tofauti ya kura kati ya ccm na Chadema ni 3000 na kidogo nadhani 2015 hapatatosha.
Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa ccm imekiri kuwa Chakula cha njaa iliwasaidia kushinda Igunga. Gazeti hilo limenukuu waraka no 4 wa idara ya oganizesheni uliowasilishwa ktk mkutano wa NEC ulioisha hivi karibuni Dodoma.
Waraka wenyewe unasema, kama ulivyonukuliwa na gazeti
Ktk Muda huo wa kampeni, Serikali ilipeleka mahindi ya msaada tani 1000 kiasi ambacho ni kidogo sana kulinganisha na mahitaji. Jambo hili kwa upande moja liliweza kupunguza kura za ccm kwenye maeneo ambako chakula hakikufika.
Waraka pia unasema kutotekelezwa kwa ilani ya ccm na ahadi za viongozi kwa upande mwingine pia ilichangia kushuka kwa kura za ccm, mfano kutojengwa daraja la Mto Mbutu.
My take,
Kwa kuwa kura zilipungua mahali ambako chakula hakikufika, kwa hiyo ccm iongeza chakula penye njaa ili kura iongezeke? Ndiyo mbinu bora ya ushindi?
Kwa kuwa hiki ni Chama dola, nini hatma ya nchi yetu?
Je, hii itakuwa ni kuhalalisha hoja kwamba CCM ilishinda kifisadi?
Kama jitihada zote hizi tofauti ya kura kati ya ccm na Chadema ni 3000 na kidogo nadhani 2015 hapatatosha.