Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,542
- 12,404
kuna uzi kama huu ulishawahi kuletwa ..
Bila shaka ni fiction....
kuna uzi kama huu ulishawahi kuletwa ..
naimani yupo humu na ajiregebisheTeh teh haya vyabure ndo mazala yake hayoooooooo!! Mbutananga naisi huyo dem anatamani ajibebe ivi maana duhh hadi raha makavu laivu lol!!:A S 13:
Acha mambo yako ya ajabu na utakoma gari c anaweka mafuta yeye na parking fee analipa sa unajiongelesha nini komaa tu mkubwa ndo maisha uliojichagulia hayoDa hongera kwa kutoa single yako hebu kairekodi
Kuna kitu kiko wrong hapo
Mpaka kufikia hapo uliposema kuna mengi alifanya ukamwachia nafasi na ameshaona ni haki yake na huna ujanja wa kujinasua
Mpaka kwenda kumgongea gate kisa unampa lifti na mume wake anasikia kabisa gate inagongwa na mwanamme mwingine kisa lifti na inaishia hivi hivi
Na mkeo anajua kabisa kuwa huwa unampa jirani yake wa jinsia yaka yake lifti kila siku mpaka unamsubiria getini
Na yuko na mume wake na wewe uko na mkeo na mnapigiana simu za usiku
mazoea hujenga tabia na tabia ikikomaa huleta majanga
Au mi ndo naona nyota nyota sijaelewa
ni langu mkuu na nimejinyima vingi hadi nikalinunuaHilo gari litakuwa sio lako, isingewezekana utawaliwe kiasi hicho. Vinginevyo ulishaharibu mwenyewe sasa yanakukuta.
sasa mkuu nikimwambia face to face si ataona namringishia gari halafu iwe .mwanzo wa kuharibiana na kutangazana kwamba naringaeeeh haya mazito,si umwambie face 2 face au unamuogopa
bwn ww kuchanganganya watu!
tambua wengine wanapenda kusaidia watu, km ww hupendi mwambie atakuelewa kwani anao upeo wa kutosha kuelewa hilo
We kweli mgeni hapa Yerusalemu!
Umeona eeeh... By the way hivi this time hauna besdei??? NIna hamu ya kukulisha tena khaaaaaaa!!!!!!
Habari zenu wana jf,
wewe dada ninaekupaga lifti kila siku naomba ujiregebishe upatapo ujumbe huu na iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zako.
1.Sipendi tabia ya kunifanya mimi niwe nakugongea geti lako asubuhi,mimi sio dereva tax wako aisee wewe ndo mwenye shida unapashwa ujiandae mapema unisubirie nje.
2.Naomba tabia ya kunipigia sim usiku wakati nimelala na mke wangu ife elewa kwamba huna malaka yeyote yakunisumbua sumbua mimi.
3.Sipendi hayo mapafyum yako makali unayojipulizia nakereka ile mbaya kutokana na kukuheshim sana nashindwa kukuambia hata huko offisin kwako nadhani wanapata shida kutokana na hiyo pafyum yako.
4.Sipendi tabia ya kukaa kwenye gari alafu umebinua kiti unajilaza miguu unanyoosha kwenye dashbod,wewe ni nani kwenye gari yangu?
5.Sipendi tabia ya kujichania nywele na kukata kucha kwenye gari bila hata kujua hizo kucha zinarukia wapi alafu hata huangaiki kuzitafuta hivi wewe mwanamke unajua thamani ya hili gari langu?
6.Sipendi tabia ya kufungulia AC hadi mwisho asubuhi asubuhi unasikia joto unakunywaga gongo wewe,mimi huwa sipendi Ac napenda ubaridi wa mbali vioo vikiwa wazi.
7.Sipendi tabia ukiongea unanishika shati mara unipigepige mara unishike mikono naomba iwe mwanzo na mwisho tabia ya kunishikashika unanipapasa mikono sipendi.
8.Sipendi unajijua kabisa umevaa min-skert alafu unakaa unatanua miguu sina haja ya kuona hiyo chupi yako kaa kwa adabu.
9. sipendi tabia ya kuchokonoachokonoa vitu visivyokuhusu kwenye gari langu kama kubadilisha nyimbo,kuweka CD ikiscruch unagongagonga redio sipendi.
10.Sipendi tabia ya kuomba uendeshe gari wakati sikuwai kukuona hata siku moja ukiendesha unataka ujifunzie kwenye gari langu wewe kama nani ife hiyo tabia.
11.Sipendi tabia ya kunielekeza kuendesha gari wewe umekua mwalimu wangu?mimi nimejua kuendesha gari tangu nikiwa primary halafu wewe ujifanye unanielekeza unataka kunitawala kwenye gari langu?ukome hiyo tabia.
12.Sipendi tabia ya kunichekeleachekelea nikiwa na mke wangu na kunikonyeza ife mimi nina mke wangu wala sikutaki kimapenzi usione nanyamaza ukazani mi mjinga.
NAOMBA UKOME SITAKI KUKONTROLIWA KWENYE VITU VYANGU.
tatizo mkuu ni jirani wa karibu sitaki kukwazana na majirani
Mwalimu nakutafuta tukafanye zindiko...
Ahahah...ukiwa in-town just give me a call! Btwwww....ngoja nije...
makavu wapi wakati yeye ndio anajipendekeza kumfuata kwake? na kesho asubuhi lazima agonge gate.