Samahan sio kwa nia mbaya lkn Ila ningependa kujua level yako ya elimu

. .....maana mtu kma mm ambae cjasoma nashindwa kumuelewa huyu mtu
NAPENDA KUCOMMENT YALE YAITWAYO MAJIBU SIJUI N MAONI SIJUI N SWALI JUU YA SWALI
1. Hapo Ukiangalia vzr hata lissu mwenyewe hakuweka kma swali Ila ilkuwa n kuonesha wap story imeanzia au shda imeanza lin. Na ukweli unajulikana mkataba ulivunjwa Ila binafs navyoona n ngumu kujua exactly umevunjwa kwa nia gan yan ya taifa au binafs, Ila kwakuwa yye (magufuli) kma waziri alivyovunja kwa ile position ya kuwa anairepresnt government
2. Hapa sidhan kma kunakitu cha maana cha kucomment
3. Tatzo huyu mtu nashindwa kumuelewa ila atupe njia sahihi ya utakapokuwa na watu ambao sio sahihi kwenye nchi ambao wanatupresent huko wasiohongwe na kupata haki yetu (namaanisha kuzia mawakili wa serikalini wasihongwe au kwenda kwenye pillar ip ambyo itatoa haki tofauti na mahakama) ???
Inajulikana kabisa court huwa inatoa hukumu kutokana na material fact during the case na jins unavyoweza thibitisha kwa kutumia legal authorities ili uweze kuiconvc mahakama. Na huo n uendeshaji wa shughul za kimahakama kutokana na knowledge nlyopewa mpka sasa wengne wanaweza wakaongezea.
Sasa kma serikali haina material fact za kutosha n ishara kubwa ya kushndwa ndomaana imekuwa hvyo. So hyo sio ishu ya kulalamika lbla ungekuja na MATERIAL FACT YA CASE HYO UONESHE N WAP SERIKAL IMEONEWA KIDOGO UTAKUWA UMEJENGA HOJA.
Nasema hvyo ili mtanzania mwenzangu aweze kuwa na amani na mahakama nakujua n chombo kinachotoa hali.
4. Kikwete lbla alaumiwe kwa kutokulipa deni kwa wakati ule na riba kuwa kubwa Ila sio kwa makosa ya hyo case.
Why magufuli bcoz yye ndye aliyekuwa waziri wakati ule na yye ndo aliyekuwa source ya hilo tatzo kuwanzia uvunjaji wa mkataba so lawama za kimakosa zlizoingiza serikali hasara kwanza hasara ya deni la kulipa pili hasara ya riba ya deni hlo lazima zmtafune magufuli moja kwa moja na hakuna mwingine.
Natumaini umejibiwq vzr why magufuli
5. Mtanzania elimika kwa manufaa ya watanzania wote.
Kwanza napenda kutoa shukran za dhati kwa upinzani kunisaidia kujua siri iliyokuwa imefichwa na serikali, Pili kunisaidia kujua kuwa ninapowaona ndugu zangu hawapati elimu bure, huduma duni za afya, hawapandishwi vyeo na wengine wnahangahika hawaajiriwi n kwa sababu pato letu hasa kodi zetu sisi wasakatonge linatumika kulipa deni la serikali ambazo kwa manufaa makubwa zingeweza kusaidia pia vijana wachuo kupata mkopo na kuweza kujikimu kimaisha. Asante sana upidhani kwa kutuonesha haya na Mungu awape nguvu ya kuendelea kuwa wazalendo wa taifa hili la tanzania na kuwalinda kutoonekana n wasaliti wa nchi ilihali wasaliti wajulikana.
Swali nzuri amejuaje mm sidhan kama n hoja nzto ingekuwa nzto kama serikali ingekata na kukanusha hoja hyo.
Hii n ishara kubwa kuwa wakati wa mahojiaano kuna wafanyakazi walioonesha moyo wa kijasiri na kuwapa taarifa hzo upidhani ili watuoneshe ssi wanyonge tuliokosa elimu. Mungu akubariki ili uendelee kuwa spy wetu sisi wanyonge.
Ila swali la muhimu kujiuliza kwa nn serikali ya tanzania haikusema chochote mpka upinzani waseme wao waje kujibu....Ni ishara tosha walikuwa hawana mapenz ya dhati na sisi wanyonge. Wahenga wanasema hamna siri ya watu wawili
6. Sidhan sana kma kuna cha kuongeza lbla nirudie special thanks to opposition
Napenda kutoa shukran za dhati kwa upinzani kunisaidia kujua siri iliyokuwa imefichwa na serikali, Pili kunisaidia kujua kuwa ninapowaona ndugu zangu hawapati elimu bure, huduma duni za afya, hawapandishwi vyeo na wengine wnahangahika hawaajiriwi n kwa sababu pato letu hasa kodi zetu sisi wasakatonge linatumika kulipa deni la serikali ambazo kwa manufaa makubwa zingeweza kusaidia pia vijana wachuo kupata mkopo na kuweza kujikimu kimaisha. Asante sana upidhani kwa kutuonesha haya na Mungu awape nguvu ya kuendelea kuwa wazalendo wa taifa hili la tanzania na kuwalinda kutoonekana n wasaliti wa nchi ilihali wasaliti wajulikana.
Pili n kwa wafanyakazi walioonesha moyo wa kijasiri na kuwapa taarifa hzo upidhani ili watuoneshe ssi wanyonge tuliokosa elimu. Mungu awabariki ili uendelee kuwa spy wetu sisi wanyonge.
7. Asante sana kaimu msemaji wa serikali Zamaradi Kawawa kwa kuonesha kwa dhati upinzani kuwa taarifa walizotoa n za kweli kbsa. Ila umekosea kwa kuwaita wasaliti bali ungetakiwa kuwaita wazalendo wa nchi.
Ila kwa mtanzania mwenzetu ambae amaeamua kupost na kucomment tu bila hoja za msingi analalamikia serikali elimu haijakukomboa. NASISITIZA TUAMBIE LEVEL YAKO YA ELIMU

SIO KWA HZO ARGUMENTS


HATA MM NAKUSHINDA
8. Hii ni ishara tosha kbsa serikali haikuwa na nia ya dhati kwa sisi wanyonge. Hiyo hali n kma yaliyomkuta Yesu tu kahukumiwa bila kosa Ila bora ww hukuhukumiwa ashukuriwe Mungu.
Ila kama angekuwa msaliti si angefungwa kma haiwezekani baci serikali ingekanusha au ingethibitisha usaliti wake.
9. NAOMBA NIJUE UHALALI WA CHADEMA KUHUSIKA AKATI CHOMBO CHA POLISI HAKIJATOA REPORT MPKA LEO???? AU UMEKUWA MSEMAJI WASIRO

. ILI NISIKUITE MSALITI
Napenda kuungana na Lissu ishu hii wahusika n watu wasiojulikana.
Ila rai yangu kwa jeshi la polisi n kujitahd kuharakisha uchunguzi ili kuzuia hali ya sintofahamu vichwani kwetu.
Pia napenda watanzania wote kuomba kwa Mungu hili kundi la watu wasiojulikana wapate mahafa makubwa ili tuweze kumjua mchawi kuanzia financial legal operational supporter mpk wale wanaoenda kuua na kufanya matukio waone moto.
10. Napenda kurudia machache juu hapo.
MZEE TUNATAKA UHALALI WA UNACHOSEMA MAANA UNALILIA UHALALI NA SIS TUNATAKA UHALALI!!
Napenda kuungana na Lissu ishu hii wahusika n watu wasiojulikana.
Ila rai yangu kwa jeshi la polisi n kujitahd kuharakisha uchunguzi ili kuzuia hali ya sintofahamu vichwani kwetu.
Pia napenda watanzania wote kuomba kwa Mungu hili kundi la watu wasiojulikana wapate mahafa makubwa ili tuweze kumjua mchawi kuanzia financial legal operational supporter mpk wale wanaoenda kuua na kufanya matukio waone moto
Pia napenda kumpongeza mwandishi kuwa Tundu Lissu n mtu shupavu na mtu makini ubarikiwe kwa kuwa na chembe ndogo kma ya haradali hiyo tu Inaweza kuwa chachu ya mapinduzi ya kisiasa na kimaendeleo hapa tanzania.
Ila all in all huyu mtu anataka kuchafua chadema na kuonekana n chama cha wachaga. Ila swali langu n kwamba tuna makosa gan sisi mkoloni mwenyewe alichagua sehemu za kaskazini na kujengea mashule mengi kule na kutufanya kujua umuhimu wa elimu kabla ya Uhuru. Napenda kusema Asante Mkoloni hasa wamisionari maana bila ujio wako sidhan kma Wazazi wangu wangekuwa wamesoma na kujua umuhimu wa elimu.
Rai yangu kwa serikali n wajitahid kutoa elimu sehemu nyngne ili kuondoa hali ya sintofahamu na watu wakajihisi tupo kwenye ukabila.
Elimu n ufunguo wa maisha na imeweza kuwapa viongozi wetu na wasomi weledi wa kujua makosa ya serikali na haki zao kma watanzania.
NASISITIZA KUONDOA HALI YA MASHAKA KWA JESHI LA POLISI WAZINGATIE HILI KWA MASLAHI YA TAIFA
" Ila rai yangu kwa jeshi la polisi n kujitahd kuharakisha uchunguzi ili kuzuia hali ya sintofahamu vichwani kwetu"
11. Kitu kisipofanyika hakiipi uhalali wa kuwa right. Ila kwa level ndogo tu ya good governance kma sijakosea n civics tunasema Accountability and transparency n important things kwenye nchi. Sasa niambie kwa nn isiwe haki yngu mm kujua kodi yangu imetumika vp mpka wanafunzi wenzangu wanakosa mkopo? Ili niweze kupunguza manung'uniko.
Hoja za chadema kuwa na madeni au siyo si haki yangu n haki ya wanachama wa chadema. Afu hvyo vtu si vtu vya watanzania wote n vtu vya chama tu

. Na sio haki yangu mm kma mtu wa CCM, NCCR MAGEUZI, CUF na wengine wasio na vyama na vyama vingne kujua. Usipotoshe umma.
Sio unafki n kutojua chama Chao kina utaratibu gan juu ya madeni.
12. Mtanzania akikosa hoja bhna

eti sio kila jambo la kuzungumza unataka wazungumzie nn sasa

NASISITIZA NATAKA KUJUA ELIMU YAKO ASEE

.
SASA musibwa jmn

si kama ww tu

sema yule n msomi anayetumia usomi wake kuwadanganya watu

japo anavituko vyake Ila ww

mwsho wa reli kigoma cjui itakuwa Rwanda

.
MusibwA atoe fact watampa majibu

. Mm nakujibu hapa sio kwa sababu unaongea point Ila n kwa sababu kuna watanzania ambao waanapotoshwa Na maneno ya taarabu zako
Point of correction. Mkataba ulionvunjwa na serikali ya Kikwete chini ya waziri Magufuli. Ila bado inaonekana hyo n ishu ya wizara sio ya rahis bhna jiongeze tu

.
13. Napenda kumuunga mkono tena Tundu Lissu kwa kushukuru kuja kwa ndege.
Ila bado shida n moja kwa watanzania tunataka kujua walivyokiri siku ya tar 19 August 2017 chini ya msemaji Zamaradi Kawawa kukiri ndege kujamatwa wameingia kwenye makubaliano yap. .
Ww kutosema au kutotaka kusikia n kukiukwa kwa point ndogo za o level Katika civics iitwayo transparency of government n good sign ya good governance.
Mm binafsi napata wakati mgumu kufurahi hasa kwenye kumpongeza kwa sababu sijui exactly why na kma n ishu n deni je kma wamekubali kuachia ndege kwa riba ya 20% kwa mwaka kuna manufaa gan kwangu kma sio kuongeza deni. N mfano lkn sio hvyo.
Afu kma unahis n Kiki si wataje mbna walivyokuwa wanatumbua majibu tulipongeza kwa muda japo ya mambo flan hatukupendezwa na utumbuaji wake .
Eti hakuna chakutibiwa huo n mtazamo tu pia unaweza sema alipgwa na makaratasi kwenye gari mpka mama samia suluhu akaenda kenya n ww tu. Huo siwezi n kauhoji kwakuwa n mtazamo tu na inaruhusiwa kikatiba.
WATANZANIA TUENDELEE KUPAMBANA ZIDI YA MAPINDUZI HAYA YA KISIASA NA KIUCHUMI KWA MAENDELEO YA TAIFA SIO KAZI RAHIS ILA MUDA UNAHITAJIKA. KUNA KUFA NA KUULIWA ILA ALL IN KUFIKA KWENYE MAPINDUZI,.
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRIKA