Waraka kwa CHADEMA na Maaskofu

Waraka kwa CHADEMA na Maaskofu

Ndugu mwandishi naona umeandika kwa kujiamini Ila siyo mbaya n haki yako ya kikatiba kuandika...... nataman kukujibu Ila Acha ninyamaze niandae uzi wangu.... maana jana nimeblokiwa..... Na watu kma nyie Ila kwa kuwa nina nia njema na nchi nitaendelela kupost ile comment mpka muache kupost tu ilimradi
 
Samahan sio kwa nia mbaya lkn Ila ningependa kujua level yako ya elimu . .....maana mtu kma mm ambae cjasoma nashindwa kumuelewa huyu mtu

NAPENDA KUCOMMENT YALE YAITWAYO MAJIBU SIJUI N MAONI SIJUI N SWALI JUU YA SWALI

1. Hapo Ukiangalia vzr hata lissu mwenyewe hakuweka kma swali Ila ilkuwa n kuonesha wap story imeanzia au shda imeanza lin. Na ukweli unajulikana mkataba ulivunjwa Ila binafs navyoona n ngumu kujua exactly umevunjwa kwa nia gan yan ya taifa au binafs, Ila kwakuwa yye (magufuli) kma waziri alivyovunja kwa ile position ya kuwa anairepresnt government

2. Hapa sidhan kma kunakitu cha maana cha kucomment

3. Tatzo huyu mtu nashindwa kumuelewa ila atupe njia sahihi ya utakapokuwa na watu ambao sio sahihi kwenye nchi ambao wanatupresent huko wasiohongwe na kupata haki yetu (namaanisha kuzia mawakili wa serikalini wasihongwe au kwenda kwenye pillar ip ambyo itatoa haki tofauti na mahakama) ???
Inajulikana kabisa court huwa inatoa hukumu kutokana na material fact during the case na jins unavyoweza thibitisha kwa kutumia legal authorities ili uweze kuiconvc mahakama. Na huo n uendeshaji wa shughul za kimahakama kutokana na knowledge nlyopewa mpka sasa wengne wanaweza wakaongezea.
Sasa kma serikali haina material fact za kutosha n ishara kubwa ya kushndwa ndomaana imekuwa hvyo. So hyo sio ishu ya kulalamika lbla ungekuja na MATERIAL FACT YA CASE HYO UONESHE N WAP SERIKAL IMEONEWA KIDOGO UTAKUWA UMEJENGA HOJA.

Nasema hvyo ili mtanzania mwenzangu aweze kuwa na amani na mahakama nakujua n chombo kinachotoa hali.

4. Kikwete lbla alaumiwe kwa kutokulipa deni kwa wakati ule na riba kuwa kubwa Ila sio kwa makosa ya hyo case.

Why magufuli bcoz yye ndye aliyekuwa waziri wakati ule na yye ndo aliyekuwa source ya hilo tatzo kuwanzia uvunjaji wa mkataba so lawama za kimakosa zlizoingiza serikali hasara kwanza hasara ya deni la kulipa pili hasara ya riba ya deni hlo lazima zmtafune magufuli moja kwa moja na hakuna mwingine.

Natumaini umejibiwq vzr why magufuli

5. Mtanzania elimika kwa manufaa ya watanzania wote.

Kwanza napenda kutoa shukran za dhati kwa upinzani kunisaidia kujua siri iliyokuwa imefichwa na serikali, Pili kunisaidia kujua kuwa ninapowaona ndugu zangu hawapati elimu bure, huduma duni za afya, hawapandishwi vyeo na wengine wnahangahika hawaajiriwi n kwa sababu pato letu hasa kodi zetu sisi wasakatonge linatumika kulipa deni la serikali ambazo kwa manufaa makubwa zingeweza kusaidia pia vijana wachuo kupata mkopo na kuweza kujikimu kimaisha. Asante sana upidhani kwa kutuonesha haya na Mungu awape nguvu ya kuendelea kuwa wazalendo wa taifa hili la tanzania na kuwalinda kutoonekana n wasaliti wa nchi ilihali wasaliti wajulikana.

Swali nzuri amejuaje mm sidhan kama n hoja nzto ingekuwa nzto kama serikali ingekata na kukanusha hoja hyo.
Hii n ishara kubwa kuwa wakati wa mahojiaano kuna wafanyakazi walioonesha moyo wa kijasiri na kuwapa taarifa hzo upidhani ili watuoneshe ssi wanyonge tuliokosa elimu. Mungu akubariki ili uendelee kuwa spy wetu sisi wanyonge.

Ila swali la muhimu kujiuliza kwa nn serikali ya tanzania haikusema chochote mpka upinzani waseme wao waje kujibu....Ni ishara tosha walikuwa hawana mapenz ya dhati na sisi wanyonge. Wahenga wanasema hamna siri ya watu wawili

6. Sidhan sana kma kuna cha kuongeza lbla nirudie special thanks to opposition

Napenda kutoa shukran za dhati kwa upinzani kunisaidia kujua siri iliyokuwa imefichwa na serikali, Pili kunisaidia kujua kuwa ninapowaona ndugu zangu hawapati elimu bure, huduma duni za afya, hawapandishwi vyeo na wengine wnahangahika hawaajiriwi n kwa sababu pato letu hasa kodi zetu sisi wasakatonge linatumika kulipa deni la serikali ambazo kwa manufaa makubwa zingeweza kusaidia pia vijana wachuo kupata mkopo na kuweza kujikimu kimaisha. Asante sana upidhani kwa kutuonesha haya na Mungu awape nguvu ya kuendelea kuwa wazalendo wa taifa hili la tanzania na kuwalinda kutoonekana n wasaliti wa nchi ilihali wasaliti wajulikana.

Pili n kwa wafanyakazi walioonesha moyo wa kijasiri na kuwapa taarifa hzo upidhani ili watuoneshe ssi wanyonge tuliokosa elimu. Mungu awabariki ili uendelee kuwa spy wetu sisi wanyonge.

7. Asante sana kaimu msemaji wa serikali Zamaradi Kawawa kwa kuonesha kwa dhati upinzani kuwa taarifa walizotoa n za kweli kbsa. Ila umekosea kwa kuwaita wasaliti bali ungetakiwa kuwaita wazalendo wa nchi.

Ila kwa mtanzania mwenzetu ambae amaeamua kupost na kucomment tu bila hoja za msingi analalamikia serikali elimu haijakukomboa. NASISITIZA TUAMBIE LEVEL YAKO YA ELIMU SIO KWA HZO ARGUMENTS HATA MM NAKUSHINDA

8. Hii ni ishara tosha kbsa serikali haikuwa na nia ya dhati kwa sisi wanyonge. Hiyo hali n kma yaliyomkuta Yesu tu kahukumiwa bila kosa Ila bora ww hukuhukumiwa ashukuriwe Mungu.

Ila kama angekuwa msaliti si angefungwa kma haiwezekani baci serikali ingekanusha au ingethibitisha usaliti wake.

9. NAOMBA NIJUE UHALALI WA CHADEMA KUHUSIKA AKATI CHOMBO CHA POLISI HAKIJATOA REPORT MPKA LEO???? AU UMEKUWA MSEMAJI WASIRO. ILI NISIKUITE MSALITI

Napenda kuungana na Lissu ishu hii wahusika n watu wasiojulikana.

Ila rai yangu kwa jeshi la polisi n kujitahd kuharakisha uchunguzi ili kuzuia hali ya sintofahamu vichwani kwetu.

Pia napenda watanzania wote kuomba kwa Mungu hili kundi la watu wasiojulikana wapate mahafa makubwa ili tuweze kumjua mchawi kuanzia financial legal operational supporter mpk wale wanaoenda kuua na kufanya matukio waone moto.

10. Napenda kurudia machache juu hapo.
MZEE TUNATAKA UHALALI WA UNACHOSEMA MAANA UNALILIA UHALALI NA SIS TUNATAKA UHALALI!!

Napenda kuungana na Lissu ishu hii wahusika n watu wasiojulikana.

Ila rai yangu kwa jeshi la polisi n kujitahd kuharakisha uchunguzi ili kuzuia hali ya sintofahamu vichwani kwetu.

Pia napenda watanzania wote kuomba kwa Mungu hili kundi la watu wasiojulikana wapate mahafa makubwa ili tuweze kumjua mchawi kuanzia financial legal operational supporter mpk wale wanaoenda kuua na kufanya matukio waone moto

Pia napenda kumpongeza mwandishi kuwa Tundu Lissu n mtu shupavu na mtu makini ubarikiwe kwa kuwa na chembe ndogo kma ya haradali hiyo tu Inaweza kuwa chachu ya mapinduzi ya kisiasa na kimaendeleo hapa tanzania.

Ila all in all huyu mtu anataka kuchafua chadema na kuonekana n chama cha wachaga. Ila swali langu n kwamba tuna makosa gan sisi mkoloni mwenyewe alichagua sehemu za kaskazini na kujengea mashule mengi kule na kutufanya kujua umuhimu wa elimu kabla ya Uhuru. Napenda kusema Asante Mkoloni hasa wamisionari maana bila ujio wako sidhan kma Wazazi wangu wangekuwa wamesoma na kujua umuhimu wa elimu.
Rai yangu kwa serikali n wajitahid kutoa elimu sehemu nyngne ili kuondoa hali ya sintofahamu na watu wakajihisi tupo kwenye ukabila.
Elimu n ufunguo wa maisha na imeweza kuwapa viongozi wetu na wasomi weledi wa kujua makosa ya serikali na haki zao kma watanzania.

NASISITIZA KUONDOA HALI YA MASHAKA KWA JESHI LA POLISI WAZINGATIE HILI KWA MASLAHI YA TAIFA
" Ila rai yangu kwa jeshi la polisi n kujitahd kuharakisha uchunguzi ili kuzuia hali ya sintofahamu vichwani kwetu"

11. Kitu kisipofanyika hakiipi uhalali wa kuwa right. Ila kwa level ndogo tu ya good governance kma sijakosea n civics tunasema Accountability and transparency n important things kwenye nchi. Sasa niambie kwa nn isiwe haki yngu mm kujua kodi yangu imetumika vp mpka wanafunzi wenzangu wanakosa mkopo? Ili niweze kupunguza manung'uniko.

Hoja za chadema kuwa na madeni au siyo si haki yangu n haki ya wanachama wa chadema. Afu hvyo vtu si vtu vya watanzania wote n vtu vya chama tu. Na sio haki yangu mm kma mtu wa CCM, NCCR MAGEUZI, CUF na wengine wasio na vyama na vyama vingne kujua. Usipotoshe umma.
Sio unafki n kutojua chama Chao kina utaratibu gan juu ya madeni.

12. Mtanzania akikosa hoja bhna eti sio kila jambo la kuzungumza unataka wazungumzie nn sasa NASISITIZA NATAKA KUJUA ELIMU YAKO ASEE .

SASA musibwa jmn si kama ww tu sema yule n msomi anayetumia usomi wake kuwadanganya watu japo anavituko vyake Ila ww mwsho wa reli kigoma cjui itakuwa Rwanda .

MusibwA atoe fact watampa majibu . Mm nakujibu hapa sio kwa sababu unaongea point Ila n kwa sababu kuna watanzania ambao waanapotoshwa Na maneno ya taarabu zako

Point of correction. Mkataba ulionvunjwa na serikali ya Kikwete chini ya waziri Magufuli. Ila bado inaonekana hyo n ishu ya wizara sio ya rahis bhna jiongeze tu .

13. Napenda kumuunga mkono tena Tundu Lissu kwa kushukuru kuja kwa ndege.

Ila bado shida n moja kwa watanzania tunataka kujua walivyokiri siku ya tar 19 August 2017 chini ya msemaji Zamaradi Kawawa kukiri ndege kujamatwa wameingia kwenye makubaliano yap. .

Ww kutosema au kutotaka kusikia n kukiukwa kwa point ndogo za o level Katika civics iitwayo transparency of government n good sign ya good governance.

Mm binafsi napata wakati mgumu kufurahi hasa kwenye kumpongeza kwa sababu sijui exactly why na kma n ishu n deni je kma wamekubali kuachia ndege kwa riba ya 20% kwa mwaka kuna manufaa gan kwangu kma sio kuongeza deni. N mfano lkn sio hvyo.

Afu kma unahis n Kiki si wataje mbna walivyokuwa wanatumbua majibu tulipongeza kwa muda japo ya mambo flan hatukupendezwa na utumbuaji wake .

Eti hakuna chakutibiwa huo n mtazamo tu pia unaweza sema alipgwa na makaratasi kwenye gari mpka mama samia suluhu akaenda kenya n ww tu. Huo siwezi n kauhoji kwakuwa n mtazamo tu na inaruhusiwa kikatiba.

WATANZANIA TUENDELEE KUPAMBANA ZIDI YA MAPINDUZI HAYA YA KISIASA NA KIUCHUMI KWA MAENDELEO YA TAIFA SIO KAZI RAHIS ILA MUDA UNAHITAJIKA. KUNA KUFA NA KUULIWA ILA ALL IN KUFIKA KWENYE MAPINDUZI,.

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
JAMANI TEUZI ZA RAIS ZILISHAJAA ... AU MNATAKA NAFASI ZA KULE UJIJI WALIKOTUMBULIWA JUZI?? NAONA UNAHANGAIKA NA NDUGU YAKO MUSIBA
 
Bawdhi ya Maaskofu hovyo kabisa kama wanataka siasa wajiunge na siasa waache uinjilisti na Utume
Hivi tunapowajia viongozi wa Kiroho na ujumbe kama huu kama wanaccm tunategemea nini kwao zaidi ya anguko. Kiongozi wa kiroho ktk haya makanisa unayoyajua ndiko walikosoma hao viongizi wako wa kisiasa kwa hiyo kiongozi wa kisiasa hana jipya zaidi ya kwenda na kuombewa na ushauri na Wale walioupokea ushauri wao walifanikiwa kiuongozi.
Mfano leo Waziri Mkuu Majaliwa amewaambia Bakwata wachukue mfano kwa wenzao Wakristu wanavyoomba ardhi hekta 2000 kwa ajili ya uwekezaji.
Ebu nitajue mahali ambapo serikali imewekeza kama serikali eneo 2000 iwe ni kwenye kilimo au laa.
Kwa huyo usifuate mkumbo kwa kuzidi kukiharibia chama changu ccm kwani chama kina msemaji hata Polepole hakustahili kuongea aliyoyaongea kwani ni muhimu kukaa chini na kujua unaongea nini.
Hizi dini ni zaidi ya ccm amini ninachikuambia hata Viongozi hili wanalijua
 
Ni baadhi ya viongozi wa dini waliokua wananufaika na mfumo flani wa kuijiingizia vipato kwa mgongo wa dini sasa hivi kumebwanwa nanajaribu njia nyingi ili ionekane badhi ya mamabo ya serikali sio sawa kwa chuki binafsi
Mku ulichokuja nacho ni tofauti kabisa kwani Hoja ya Mange na hii ya Maskofu ina tofauti gani tusiwadhalilishe viongozi wetu wa Kiroho kwa mambo ambayo wameyataja
 
Sidhani kama una akili timamu. Ushabiki ni kitu cha kudhalilisha sana.
 
Mku ulichokuja nacho ni tofauti kabisa kwani Hoja ya Mange na hii ya Maskofu ina tofauti gani tusiwadhalilishe viongozi wetu wa Kiroho kwa mambo ambayo wameyataja
Siasa sio mambo ya kiroho,,washughulike na watu kuacha uovu,,hii itakuwa suluhisho LA kukoma kwa maovu mengi hata mauaji
 
,
Mku ulichokuja nacho ni tofauti kabisa kwani Hoja ya Mange na hii ya Maskofu ina tofauti gani tusiwadhalilishe viongozi wetu wa Kiroho kwa mambo ambayo wameyataja
Hakuna anaewadhalilisha,,tunaongea fact,,huwezi kuihusisha moja kwa moja serikali na matukio ya uhalifu,,jamii inao wajibu wa kuisaidia serikali na vyombo vya dola kufichua wahalifu kwani tuko nao katika jamii,kuna mifano nimetoa hapo juu ya matukio ya vifo vya watu ambavyo mwisho wa siku vimekuwa proved beyond no doubts kuwa vilifanywa na watu kutokana na chuki tofauti tofauti,hapo serikali inahusikaje? Je ni wajibu wa serikali kufundisha moral principles? Ni jukumu LA maaskofu, sasa kama wao wameshindwa na maovu yanashamiri je tuilaumu serikali?
 
Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.

PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi

TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,

MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa

Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana

Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?

Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?

Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??

In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
,,0712207633 Mzalendo Halisi,,Tanzania kwanza,,

LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
NILIFIKIRI NINASOMA MAMBO YA MAANA KUMBE UJIN**G****
 
Askofu anahaki ya kuchangia na kusema pale panapobidi,kwani kutoa maoni na kukemea nikufanya siasa? Futilia taarifa ya habari ya leo uone mh. KassimiKassim Majaliwa amewambia nin mashehe kisha uje na tuhuma hizo za maaskofu
 
Hizo roho za kuombewa ni pamoja na wauaji ni panoja na " wasiojulikana". But you are very brave bro. You really have brain
 
Huu mwandiko kama wa Lemutuz sema imekosekana "Hahahahhaha" na " u know"
Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.

PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi

TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,

MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa

Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana

Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?

Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?

Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??

In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
,,0712207633 Mzalendo Halisi,,Tanzania kwanza,,

LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
 
In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,, ,,0712207633 Mzalendo Halisi,,Tanzania kwanza,,

LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU

Serikali inajivurauga yenyewe.SHORT LIVE JPM, HAPA KUKURUPUKA TU
 
Back
Top Bottom