Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Eeeeeeeeh ddnt knw that,yani uncle buji hujaniambia wakati mm ni mwenyekiti wako?
safi sana..kwa niaba ya kundi kubwa la tuliooa zamani hapa jf, namkaribisha sana geoff aanze rasmi kupashiwa maji asubuhi...!du , umekosa mengi dogo!
Mi najitolea kutoa ushauri wa bure pindi utakapoona the dunia turns black to you!
Tuko pamoja sana!
Waoaji na waolewaji, dont hesitate to announce your intentions out here, whenever you have somebody wanting you!
Namuomba mungu niishi hadi nije kukutana na harusi ya wana-jf wawili, say bht na bujibuji!...its going to be sooo nice..
Maisha mema kwa newly-wedded-couple!