Wapo wapi wanawake wa namna hii karne hizi??

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,726
10,016
Zamani mtu akikwambia anaoa basi hiyo ni sifa moja kubwa sana kujivunia kwa mwanaume. Hivyo hivyo kwa upande wa pili mtu kuolewa ilikuwa ni baraka kubwa sana kwa mwanamke mwenyewe na hata upande wake mzima.

Wanawake walikuwa na sifa zote za kustahili kuolewa na kuishi ndani ya ndoa na hata watoto pia walikuwa katika maadili.
Mwanamke mwenye sifa alikuwa;
- kwanza mume akitoka atokapo anapokewa chochote alichobeba na pole kwa uchovu anapata.
-Maji bafuni anatengewa sio mume kubeba ndoo mwenyewe mpaka bafuni.
- Chakula mezani anatengewa na mikono ananawishwa. (mmmh sasa hivi sasa....ngoja niishie hapa)
- Anajituma kumridhisha mume chumbani ili kutunza ndoa yake.
- Kumnyooshea nguo mume na hata kumchagulia nguo nzuri za mtoko.
na mengineyo mengi.

Nyongeza: Kubwa kuliko wanawake wa kipindi hicho walikuwa siku ya kuolewa analia. * hapa sijui nini kilikuwa kinawaliza*

Miaka ya karibuni hawa wanawake wa sifa hizi wamepepea na ngumu kupatikana kabisa hata wale wa zamani baadhi nao wameanza kupata mapembe kutunishiana misuli na wame zao hii nayo ni tatizo.
 
Zamani mtu akikwambia anaoa basi hiyo ni sifa moja kubwa sana kujivunia kwa mwanaume. Hivyo hivyo kwa upande wa pili mtu kuolewa ilikuwa ni baraka kubwa sana kwa mwanamke mwenyewe na hata upande wake mzima.

Wanawake walikuwa na sifa zote za kustahili kuolewa na kuishi ndani ya ndoa na hata watoto pia walikuwa katika maadili.
Mwanamke mwenye sifa alikuwa;
- kwanza mume akitoka atokapo anapokewa chochote alichobeba na pole kwa uchovu anapata.
-Maji bafuni anatengewa sio mume kubeba ndoo mwenyewe mpaka bafuni.
- Chakula mezani anatengewa na mikono ananawishwa. (mmmh sasa hivi sasa....ngoja niishie hapa)
- Anajituma kumridhisha mume chumbani ili kutunza ndoa yake.
- Kumnyooshea nguo mume na hata kumchagulia nguo nzuri za mtoko.
na mengineyo mengi.

Nyongeza: Kubwa kuliko wanawake wa kipindi hicho walikuwa siku ya kuolewa analia. * hapa sijui nini kilikuwa kinawaliza*

Miaka ya karibuni hawa wanawake wa sifa hizi wamepepea na ngumu kupatikana kabisa hata wale wa zamani baadhi nao wameanza kupata mapembe kutunishiana misuli na wame zao hii nayo ni tatizo.
Tupo huku sema ndo vile ni weusi na hatuna matter call kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo lakini ni shangazi, bibi na mama zetu kwq sasa. Tupambane na generation yetu tu hakuna namna.
 
Zamani mtu akikwambia anaoa basi hiyo ni sifa moja kubwa sana kujivunia kwa mwanaume. Hivyo hivyo kwa upande wa pili mtu kuolewa ilikuwa ni baraka kubwa sana kwa mwanamke mwenyewe na hata upande wake mzima.

Wanawake walikuwa na sifa zote za kustahili kuolewa na kuishi ndani ya ndoa na hata watoto pia walikuwa katika maadili.
Mwanamke mwenye sifa alikuwa;
- kwanza mume akitoka atokapo anapokewa chochote alichobeba na pole kwa uchovu anapata.
-Maji bafuni anatengewa sio mume kubeba ndoo mwenyewe mpaka bafuni.
- Chakula mezani anatengewa na mikono ananawishwa. (mmmh sasa hivi sasa....ngoja niishie hapa)
- Anajituma kumridhisha mume chumbani ili kutunza ndoa yake.
- Kumnyooshea nguo mume na hata kumchagulia nguo nzuri za mtoko.
na mengineyo mengi.

Nyongeza: Kubwa kuliko wanawake wa kipindi hicho walikuwa siku ya kuolewa analia. * hapa sijui nini kilikuwa kinawaliza*

Miaka ya karibuni hawa wanawake wa sifa hizi wamepepea na ngumu kupatikana kabisa hata wale wa zamani baadhi nao wameanza kupata mapembe kutunishiana misuli na wame zao hii nayo ni tatizo.
Generation ya virusi vya Corona haiwezi kuwa na sifa hizo.
 
Hivyo ulivyoandika ni rahisi sana kufanyika kwa mwanamke aliyeolewa kwa upendo na mwenye kulelewa kwa adabu

Tatizo kubwa la ndoa za siku hizi imekuwa kama show offs kwa besties na kama kutimiza wajibu wa ndoa....nyingi hazifungwi in the name of love
 
Zamani mtu akikwambia anaoa basi hiyo ni sifa moja kubwa sana kujivunia kwa mwanaume. Hivyo hivyo kwa upande wa pili mtu kuolewa ilikuwa ni baraka kubwa sana kwa mwanamke mwenyewe na hata upande wake mzima.

Wanawake walikuwa na sifa zote za kustahili kuolewa na kuishi ndani ya ndoa na hata watoto pia walikuwa katika maadili.
Mwanamke mwenye sifa alikuwa;
- kwanza mume akitoka atokapo anapokewa chochote alichobeba na pole kwa uchovu anapata.
-Maji bafuni anatengewa sio mume kubeba ndoo mwenyewe mpaka bafuni.
- Chakula mezani anatengewa na mikono ananawishwa. (mmmh sasa hivi sasa....ngoja niishie hapa)
- Anajituma kumridhisha mume chumbani ili kutunza ndoa yake.
- Kumnyooshea nguo mume na hata kumchagulia nguo nzuri za mtoko.
na mengineyo mengi.

Nyongeza: Kubwa kuliko wanawake wa kipindi hicho walikuwa siku ya kuolewa analia. * hapa sijui nini kilikuwa kinawaliza*

Miaka ya karibuni hawa wanawake wa sifa hizi wamepepea na ngumu kupatikana kabisa hata wale wa zamani baadhi nao wameanza kupata mapembe kutunishiana misuli na wame zao hii nayo ni tatizo.
Bado wapo mkuu. Mmojawao ni Ambaruti na Wema Sepenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani mtu akikwambia anaoa basi hiyo ni sifa moja kubwa sana kujivunia kwa mwanaume. Hivyo hivyo kwa upande wa pili mtu kuolewa ilikuwa ni baraka kubwa sana kwa mwanamke mwenyewe na hata upande wake mzima.

Wanawake walikuwa na sifa zote za kustahili kuolewa na kuishi ndani ya ndoa na hata watoto pia walikuwa katika maadili.
Mwanamke mwenye sifa alikuwa;
- kwanza mume akitoka atokapo anapokewa chochote alichobeba na pole kwa uchovu anapata.
-Maji bafuni anatengewa sio mume kubeba ndoo mwenyewe mpaka bafuni.
- Chakula mezani anatengewa na mikono ananawishwa. (mmmh sasa hivi sasa....ngoja niishie hapa)
- Anajituma kumridhisha mume chumbani ili kutunza ndoa yake.
- Kumnyooshea nguo mume na hata kumchagulia nguo nzuri za mtoko.
na mengineyo mengi.

Nyongeza: Kubwa kuliko wanawake wa kipindi hicho walikuwa siku ya kuolewa analia. * hapa sijui nini kilikuwa kinawaliza*

Miaka ya karibuni hawa wanawake wa sifa hizi wamepepea na ngumu kupatikana kabisa hata wale wa zamani baadhi nao wameanza kupata mapembe kutunishiana misuli na wame zao hii nayo ni tatizo.

Mambo hubadilika kulingana na nyakati! Ni lazima tutambue hilo kabla ya kuanza kulinganisha maisha ya ndoa enzi ya Bibi yako na S3asa!!
 
Wamama watu wazima wanafanya hivyo. Ndiyo maana nawapenda sana. sitaki watoto wadogo kwa sababa hawajui majukumu yao.
 
Hivyo ulivyoandika ni rahisi sana kufanyika kwa mwanamke aliyeolewa kwa upendo na mwenye kulelewa kwa adabu

Tatizo kubwa la ndoa za siku hizi imekuwa kama show offs kwa besties na kama kutimiza wajibu wa ndoa....nyingi hazifungwi in the name of love
@joanah kwema
 
Tuendele kuwa vumilia tu mpaka yesu akirudi hakuna namna, inabidi tuoe hawa hawa waliokuwepo tu. Hao unaowataka walishaondokaga na Jahazi la Nuhu 😊 kitambo sana.
 
Back
Top Bottom