Wapo Wanawake wanajiheshimu na kuheshimu ndoa zao..... Huyu ni mmoja wao

Kloro wakati mwingine hongera tu na kutakiana heri kunatosha kabisa.Sio mtu anaanza kumwambia/toa comment za kumvunja mhusika moyo au za kumpa wasiwasi. Kama ipo siku atarudi kwaajili ya msaada basi isubiriwe hiyo siku, hamna haja ya kumwombea itokee na kuanza kumfananisha na watu wengine wasiomhusu.

Lizzy hebu irudie tena oroginal post ya mtoa mada, ukiiangalia kiundani sio post ya kutoa taarifa tu ambayo ingebidi kumpongeza tu, ndani yake imebeba compliments nyingi ambazo zinahitaji kujadiliwa, sijui umeliona hilo?
 
avatar20324_4.gif
...hongera sana kaka, ila hii avatar mnh.... siku mkeo akikubamba ndiyo unayoitumia hapa jf... umewahi kufikiria atapata mawazo 'mapenzi' yako unayaelekezea wapi?...mara nyingi wanaojaaliwa wake wazuri, ukorofi unaanzwa nasi wanaume kama mwenyewe ulivyosema... "mvunja ndoa ni mwana ndoa mwenyewe"

...happy 10yrs kaka, muwe na christmas njema na heri ya mwaka mpya!
 
Lizzy hebu irudie tena oroginal post ya mtoa mada, ukiiangalia kiundani sio post ya kutoa taarifa tu ambayo ingebidi kumpongeza tu, ndani yake imebeba compliments nyingi ambazo zinahitaji kujadiliwa, sijui umeliona hilo?
YES Kloro!Nimeona!
Ila hakukua na haja ya watu kuanza kumtisha kuhusu ndoa yake mwenyewe.
 
YES Kloro!Nimeona!
Ila hakukua na haja ya watu kuanza kumtisha kuhusu ndoa yake mwenyewe.
hehehe sawa bana! nimekubali yaishe, BTW sitaki nichakachue lakini naomba unijibu haka kasuali kangu kamoja ka offu topik. Vipi umeamkaje na ule usumbufu wa jana?

bek to topik
 
hehehe sawa bana! nimekubali yaishe, BTW sitaki nichakachue lakini naomba unijibu haka kasuali kangu kamoja ka offu topik. Vipi umeamkaje na ule usumbufu wa jana?

bek to topik
Heeheehe umekubali yaishe au umekubali?

OT. . . .Better aiseee.Thanks for caring love.
 
Heeheehe umekubali yaishe au umekubali?

OT. . . .Better aiseee.Thanks for caring love.

Hehehe nimekubali yaishe bana, unajua umenifanya niirudie sredi nzima kumtafuta mtu ambae "amemtishia" mtoa mada direct na ndoa yake na senk god sikuwa mimi.

OT: Pleased to hear that n tnx for the red part, at least my appetite is back to normal again
 
Hehehe nimekubali yaishe bana, unajua umenifanya niirudie sredi nzima kumtafuta mtu ambae "amemtishia" mtoa mada direct na ndoa yake na senk god sikuwa mimi.

OT: Pleased to hear that n tnx for the red part, at least my appetite is back to normal again
Hehehehe, kumbe ningetaja ID ningekuokolea muda ehhh.

Asante wewe bana.Karibu baadae supu ya kuku wa kienyeji na limao kidogo.
 
Habari za ku elekea weekend Wana JF.

Imekuwa ni kawaida ya hapa JF hasa jukwaa pendwa la MMU kila siku kusikia lawama na manung'uniko miongoni mwa wanandoa hasa Wanaume wakiwalalamikia Wake au wachumba zao. Hii kwa kiasi fulani na kwa maoni yangu inaweza kuwaathiri Wanandoa wapya/watarajiwa kiasi kwamba mtu anaingia kwenye ndoa akiwa na attitude moja..... ndoa ni mateso, ugomvi, vurugu, usaliti na madhila mengine yanayofanana. Leo nimeona niwe miongoni mwa mashuhuda wa namna ndoa ilivyo tamu, raha, na ya amani hasa ukimpata mtu sahihi.
Mimi nimeoa, nina ndoa ya miaka 6 na mtoto mmoja. Kabla ya kufunga ndoa na Mke wangu tulikaa kama Wachumba kwa miaka Minne (4).
Naamini ni miongoni mwa watu hapa duniani ambaye nimebahatika kupata "Mke Mwema". Pamoja na Elimu yake ya kutosha tu, mshahara wake unaozidi wangu kama mara mbili na vitu vingine bado ndoa yetu imekuwa salama, tulivu na ya kufurahia kwa miaka yote tuliyoishi kama wana ndoa.

Kwa hulka ya Wanawake wa sasa hivi.... naamini ninaye Mke ambaye sijui ni sifa gani ambazo zinapungua ili aitwe Mke Mwema. Nawasihi Wanawake wengine hapa JF na kwingineko waelewe kuwa "Mke Mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe"

Wale ambao hawajaoa na kuolewa wasidhani kuwa ndoa ni misukosuko na vurugu kwani "mvunja ndoa ni mwana ndoa mwenyewe" na amini usiamini migogoro mingi inayoripotiwa hapa ni stori za upande mmoja tu yawezekana sisi wananume ni sehemu ya matatizo.

Mtaniwia radhi niliowakwaza lakini naamini nimetoa uzoefu wangu

Tupe factor zilinazofanya umsifie mkeo kiasi hicho na kukufanya uifurahie ndoa yako hivyo kwani nilichoona ulichokiweka kama factor kubwa ni kwamba kakuzidi mshahara mara mbili na kudumu kwenye ndoa miaka 6, ambazo haziwezikuwa factar kubwa kiviile
 
ha ha ha thats my fa, nakubaliana na post yako na yep nina mauzaifu kibao sio mmoja tu lakini udhaifu niliokuwa nauzungumzia mimi ni ule wa kimaumbile na ambao uko common somehow. In short wanawake wana udhaifu wao na pia wanaume wana udhaifu wao lakini the tricky natural instinct ni kwamba mwanamke ndio anashika mpini most of the time na ndio maana nikasema udhaifu wa mwanamke ndio unaotrigger udhaifu wa mwanamme (hapa naongelea mahusiano yasio rasmi).

Umewahi kujiuliza kwanini miaka ya zamani ilikuwa kumpata mwanamke ni vita tosha? Namaanisha haikuwa kazi ndogo, ukipata jibu la hili suala nadhani utanipata nilikuwa namaanisha nini rafiki.

you nailed it.
 
Kloro wakati mwingine hongera tu na kutakiana heri kunatosha kabisa.Sio mtu anaanza kumwambia/toa comment za kumvunja mhusika moyo au za kumpa wasiwasi. Kama ipo siku atarudi kwaajili ya msaada basi isubiriwe hiyo siku, hamna haja ya kumwombea itokee na kuanza kumfananisha na watu wengine wasiomhusu.
Pana
Point kubwa sana hapa....... Kwamba kuna ups and downs kwenye ndoa hilo liko wazi na hata sisi tunapita humo humo. Hata hivyo tunamshukuru Mungu kwamba tunapita salaaaaaama na tunzaidi kumwomba tuzidi kupita salaama.
Hoja hapa ni kwamba Ndoa sio jehanum kama wengi wetu tunavyojaribu kujazana upepo hapa. Of course matatizo yapo na kwa umri wetu tunatarajia kuna magumu mengi yanakuja hilo liko wazi lakini tusemeje......TUNAMSHUKURU MUNGU
 
Nilitaka kuuliza swali kama hili BUT in a positive way. Ningeomba mleta mada atoe ufafanuzi zaidi ya miaka 4 ya uchumba na miaka 6 ya ndoa. Hii itakuwa msaada kwa wale wenzetu ambao ni still single and searching. Mimi pia naamini kuwa wapo wanawake kibao ambao ni wife material; ila kwa kuwa mimi ni mwanamke ngoja niwaachie wanaume wenye experience kama mtoa mada wawasaidie.

Ni qualities gani au dalili gani kwa msichana ambazo zinaweza kumsaidia mwanaume ku predict kuwa atakuwa mke bora??

Tupe factor zilinazofanya umsifie mkeo kiasi hicho na kukufanya uifurahie ndoa yako hivyo kwani nilichoona ulichokiweka kama factor kubwa ni kwamba kakuzidi mshahara mara mbili na kudumu kwenye ndoa miaka 6, ambazo haziwezikuwa factar kubwa kiviile
 
Gerrard umesema ukweli kabisa. Mimi watu wakiniuliza opinion yangu kuhusu maisha ya ndoa nikijibu kuwa na enjoy wanadhani uhongo. Jamani ndoa raha. Hata hizo ups and down zinakuzwa na walio pembeni; spectators; wahusika wanagombana leo kesho wanaendelea na game kama kawa. Lol.
Spectators wao wanakariri, ile si ndoa waligombana mwaka jana live kwenye bar; kumbe wenzao walishasahau ndani ya wiki na wanasongesha maisha.

Pana
Point kubwa sana hapa....... Kwamba kuna ups and downs kwenye ndoa hilo liko wazi na hata sisi tunapita humo humo. Hata hivyo tunamshukuru Mungu kwamba tunapita salaaaaaama na tunzaidi kumwomba tuzidi kupita salaama.
Hoja hapa ni kwamba Ndoa sio jehanum kama wengi wetu tunavyojaribu kujazana upepo hapa. Of course matatizo yapo na kwa umri wetu tunatarajia kuna magumu mengi yanakuja hilo liko wazi lakini tusemeje......TUNAMSHUKURU MUNGU
 
Unajuaje kama hamegwi pembeni? Au hujui ila "unaamini" kuwa hamegwi?

Hata kama anamegwa lakini anafanya siri na bado heshima ipo haina shida, na wengi ndivyo, tulivyo. Hata kama unamega nje mhesimu mwenzio na mpe nafasi kubwa sana. Hebu fikiria unarudi nyumbani saa 11 alfajiri, hapo unategemea nini !!! Lakini hata kama unachepuka, lakini ukichelwa sana kurudi nyumbani ni saa 2 jioni.
 
Back
Top Bottom