- Thread starter
- #21
Ukisoma vizuri hapo juu nimeeleza kuwa sredi nyingi hapa za malalamiko na manung'uniko ambazo nyingi zinatoka kwa sisi wanaume ni one sided..... Wanaume wengi tunajenga nyumba za tope ambazo hubomolew na wake zaoHongera sana Bwana Gerrad kwa kupata mke mwema. Naamini kua na wewe ni mume mwema pia sababu mume mjinga anaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuharibu ndoa pia.
Mara nyingi napenda kukumbushia kua wenye kuleta habari hapa sio representative sample. Ni sawa na kwenda kukaa gate ya hospitali alafu useme kumbe watu wengi duniani wanaumwa...
Asante kwa story yako.