Wapo wanasiasa, wanasheria wanaoshirikiana na makampuni ya kigeni kutengeneza commercial disputes waiibie nchi fedha

Zanika

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
1,316
752
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.
 
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.
mungu akubariki kwa kuujua ukweli [HASHTAG]#watanzania[/HASHTAG] wa kweli tupo kibaoooo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM na serikali yake ndio zao hizo,wametupiga kwenye rada na ndege ya rais,wasamaria wema wakatuonea huruma kwa jitihada zao tukarudishiwa chenji nazo wakapiga,

wakatupiga kwenye mikataba fake ya madini,wakatupiga kwenye uuzaji wa nyumba za serekali na viwanda kwa kisingizio cha kubinafusisha,wakatupiga kwa kuvunja mikataba bila kufuata utaratibu na ukijaribu kuhoji unaitwa wewe siyo mzalendo ila wao kwa kuwa ndio wapigaji wenyewe ndio wanaojiita wazalendo.
 
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.
Hoja zako kama za MSUKUMA.
 
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.
Ukweli Mtupu Tunazne na CHENGE sasa
 
Hao wanasiasa wana uwezo mkubwa kuliko serikali? Kwanini wasishughulikiwe kama wamekiuka utaratibu?
 
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.
Tambua kwamba kuwa mwanasheria ni taaluma, na ukiwa na taaluma hufungwi kuitumia kwa manufaa yako. Mjinga na Mpumbavu ni yule anaeingia mkenge kirahisi rahisi, kumbuka ili mkataba usainiwe lazima upitie process kubwa sana yaani kipengele hadi kipengele ili kujiridhisha na kile kilichopo. Sasa kama akina majimarefu ndo wanapitia hiyo mikataba unafikiri nini kitafuata. Adui wa Tanzania ni Tanzania yenyewe.
 
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.

Hili linamhusu yule aliyekamata meli ya Wachina halafu sasa tunadaiwa.

Hili linamhusu yule aliyedai accasia wametuibia na tunawadai tril 450 halafu sasa accasia wanasena wanatudai sisi tril 5.

Hili linamhusu yule mbabe anayevunja nyumba za watu kwa sheria ambazo hazipo na hawalipi fidia waathirika

Hili linamhusu yule anayewapa kazi nyeti ndugu zake kama katibu mkuu hazina, wakurugenzi, DED's na wajumbe kwenye body ya FCC n.k

Hili linamhusi yule mbaguzi anayejenga runway ya ndege zaidi ya km 3.5 kwenye mji ambao hauna hata watu 50,000

Hili linamhusu yule anayejenga jengo la tra la bil 5 sehemu ambako makusanyo kwa mwaka hayazidi mil 200.

Huyo mtu inabidi tumpelek mwembe kunyonga akafanyiwe kile wajerumani walichokuwa wakiwafanyia wasaliti wao
 
ADUI UNAYELALA NAYE NA KUAMKA NAYE NDIYE MBAYA KULUKO YULE ANAYEKUJA NA KUONDOKA! HUU NDUI UKWELI

NI muda mrefu nchi yetu ya Tanzania imekuwa ikihujumiwa na Wasomi hasa baadhi ya Wanasheria wasio waaminifu wenye kujaa tamaa ya fedha zisizo halali. Wakishirikiana na Wanasiasa wenye tamaa ya mali walioko Bungeni (wapiga deal) pamoja na baadhi ya Watumishi wa umma na baadhi ya vyombo vya habari.

Haya yanafanywa na Wana siasa hoa ambao wako Bungeni na wenye Makampuni ya Uwakili wakishirikiana na Baadhi ya Wanasheria wa Serikalini. Ambapo huhakikisha mikataba inayowekwa itafika mahali Serikali haitaridhishwa na utekelezwaji wa mradi husika. Hatimaye kinachofata watapenyeza wataalam ili waishauri Serikali isimamishe mradi au kuifukuza kampuni husika.

Wakishindwa hapo watatumia baadhi ya Wabunge wapiga deal ili hoja ipelekwe bungeni kama bomu fulani na kuwashawishi bunge liibane serikali ichukue hatua na kuwawajibisha viongozi na kusitisha mkataba.

Sambamba na hilo watatumia mikutana mbali mbali kwenye platforms za vyama vyao vya Siasa,Press za Bunge na Vyombo vya habari kufanya kampeni ya ki-propaganda ili kufanya umma ujikite kwenye mjadala husika na kuufanya wa kitaifa ili kuishinikiza Serikali iingie mtegoni na hata baadaye itakapodaiwa ionekane ni uzembe wa Serilali.

Kinachofata ni Kampuni husika inaibukia mahali kwingine na kufungua madai kwa kutumia mkataba ambao unaifunga Serikali na kupelekea kuwalipa kwa kazi mbovu au Manunuzi mabovu waliyotufanyia.

Na hii ndio siri kubwa ya baadhi ya wanasiasa kutumia fedha nyingi sana na ushirikina kuhakikisha wanaingia Bungeni. Amini usiamini nyuma ya pazia Bungeni kuna blackmail deals nyingi zinafanywa na Wabunge wasio na mapenzi mema na nchi hii. Kadhalika na hilo wako ziko kampuni za Uwakili zinazotumika kuhujumu uchumi na kupindisha na kupotosha ukweli wowote juu ya dhuluma tunayofanyiwa kama Taifa.

Wakati umefika sasa Serikali na Taifa kuwafanyia Examining hawa na ikibidi kuyafutia leseni makampuni haya ya Uwakini na kufuta vibali vya Wanasheria wa aina hii. Halikadhalika kuwatangaza Wabunge na wanasiasa wote wa aina hii ili tuwawajibishe inavyostahili.
You are fighting your own hand
You'll never stay safe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM na serekali yake ndio zao hizo,wametupiga kwenye rada na ndege ya rais,wasamaria wema wakatuonea huruma kwa jitihada zao tukarudishiwa chenji nazo wakapiga,wakatupiga kwenye mikataba fake ya madini,wakatupiga kwenye uuzaji wa nyumba za serekali na viwanda kwa kisingizio cha kubinafusisha,wakatupiga kwa kuvunja mikataba bila kufuata utaratibu na ukijaribu kuhoji unaitwa wewe siyo mzalendo ila wao kwa kuwa ndio wapigaji wenyewe ndio wanaojiita wazalendo.
Wakatupiga na Richmond ...mbona kumbu kumbu zako zinarukaruka?
 
Jiulize mbona hawataki mikataba ipite Bungeni?

Mkataba wa Bombadier unaujua?

Jiulize mbona ripoti ya makinikia imefanywa siri?

Acheni kutafuta mchawi wakati wachawi ni nyinyi wenyewe!
 
Tambua kwamba kuwa mwanasheria ni taaluma, na ukiwa na taaluma hufungwi kuitumia kwa manufaa yako. Mjinga na Mpumbavu ni yule anaeingia mkenge kirahisi rahisi, kumbuka ili mkataba usainiwe lazima upitie process kubwa sana yaani kipengele hadi kipengele ili kujiridhisha na kile kilichopo. Sasa kama akina majimarefu ndo wanapitia hiyo mikataba unafikiri nini kitafuata. Adui wa Tanzania ni Tanzania yenyewe.

Unamaanisha ni ni hapa?
Je, taaluma ya sheria inatamka mwanasheria ana haki ya kushiriki kutengeneza mikataba ambayo binding zake zinapelekea kumnyima haki mpewa huduma pale anapogundua ubora wa kazi haukidhi viwango??

Je pia ni haki kwa mwanasheria kuchomoa nyaraka za kampuni anayoiwakilisha na kuitumia kwa maslahi yake binafsi na ya kisiasa?

Anyway nafurahi kuwa comment yako inakiri kuwa tunao bad lawyers wasio na maslahi kwa umma wetu bali ni vibaraka wanaotumiwa na wezi sababu ya njaa zao.
 
Back
Top Bottom