paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Kama kichwa cha habari kilivyo!
Tanzania ni nchi yenye historia ya pekee barani Afrika na duniani kote.
Ni taifa lililopigania Uhuru wa nchi nyingi Afrika na ni Taifa la kuigwa si barani Afrika pekee bali duniani kote
Ni taifa lililojipatia Uhuru wake pasi na kumwaga damu, na hii si kwa sababu mbinu nyingine zilishindwa, la hasha.
Zipo sababu nyingi za kufanya Taifa letu kuwa ni taifa la pekee sana katika Dunia hii tuliyonayo. Wengi wa watu hulitazama Taifa letu katika nyanja ya kiuwezo pekee wa vitu, lakini wanashindwa kuona muunganiko wa Tanzania na mataifa mengine duniani jinsi Taifa letu lilivyo kiungo mhimu katika Dunia.
Na kama hayo mtu huyajui, ni bora kukaa kimya, waacheni wakosa kazi wajaribu wawezavyo kama watapata matokeo.
Tunayo mataifa ya kuijadili nchi yetu, ila hayapo mataifa ya kuichukulia hatua nchi yetu
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Tanzania ni nchi yenye historia ya pekee barani Afrika na duniani kote.
Ni taifa lililopigania Uhuru wa nchi nyingi Afrika na ni Taifa la kuigwa si barani Afrika pekee bali duniani kote
Ni taifa lililojipatia Uhuru wake pasi na kumwaga damu, na hii si kwa sababu mbinu nyingine zilishindwa, la hasha.
Zipo sababu nyingi za kufanya Taifa letu kuwa ni taifa la pekee sana katika Dunia hii tuliyonayo. Wengi wa watu hulitazama Taifa letu katika nyanja ya kiuwezo pekee wa vitu, lakini wanashindwa kuona muunganiko wa Tanzania na mataifa mengine duniani jinsi Taifa letu lilivyo kiungo mhimu katika Dunia.
Na kama hayo mtu huyajui, ni bora kukaa kimya, waacheni wakosa kazi wajaribu wawezavyo kama watapata matokeo.
Tunayo mataifa ya kuijadili nchi yetu, ila hayapo mataifa ya kuichukulia hatua nchi yetu
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.