kwahiyo ndugu unamaana wananchi ni wanafiki maana ndio waliotoa hayo maoni kwenye tume ya kuratibu mchakato wa katiba mpya!.au nawe ndio mmoja wa wale wanaofanya propaganda eti hayo ni mawazo ya warioba na wapinzani.ila fahamu watz wanafaham wanachohitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.