Eti mnataka serikali tatu...? Kwa vyanzo gani hasa vya mapato mpaka zanzibar iwezeze kuchangia serikali ya muungano? Hapa kinachoonekana ni kuridhisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka tu kwani gharama ya maisha zitapanda kama wanavyolia wenzetu wa kenya maana serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato sasa ili kufidia hayo kitakachofuata kodi nyingi zitakazo umiza wananchi. Enyi viongozi wenye uchu wa madaraka acheni kupotosha umma. Sisi wananchi tunataka maisha bora tu si uwingi wa serikali
Eti mnataka serikali tatu...? Kwa vyanzo gani hasa vya mapato mpaka zanzibar iwezeze kuchangia serikali ya muungano? Hapa kinachoonekana ni kuridhisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka tu kwani gharama ya maisha zitapanda kama wanavyolia wenzetu wa kenya maana serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato sasa ili kufidia hayo kitakachofuata kodi nyingi zitakazo umiza wananchi. Enyi viongozi wenye uchu wa madaraka acheni kupotosha umma. Sisi wananchi tunataka maisha bora tu si uwingi wa serikali
Eti mnataka serikali tatu...? Kwa vyanzo gani hasa vya mapato mpaka zanzibar iwezeze kuchangia serikali ya muungano? Hapa kinachoonekana ni kuridhisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka tu kwani gharama ya maisha zitapanda kama wanavyolia wenzetu wa kenya maana serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato sasa ili kufidia hayo kitakachofuata kodi nyingi zitakazo umiza wananchi. Enyi viongozi wenye uchu wa madaraka acheni kupotosha umma. Sisi wananchi tunataka maisha bora tu si uwingi wa serikali
Eti mnataka serikali tatu...? Kwa vyanzo gani hasa vya mapato mpaka zanzibar iwezeze kuchangia serikali ya muungano? Hapa kinachoonekana ni kuridhisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka tu kwani gharama ya maisha zitapanda kama wanavyolia wenzetu wa kenya maana serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato sasa ili kufidia hayo kitakachofuata kodi nyingi zitakazo umiza wananchi. Enyi viongozi wenye uchu wa madaraka acheni kupotosha umma. Sisi wananchi tunataka maisha bora tu si uwingi wa serikali
Eti mnataka serikali tatu...? Kwa vyanzo gani hasa vya mapato mpaka zanzibar iwezeze kuchangia serikali ya muungano? Hapa kinachoonekana ni kuridhisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka tu kwani gharama ya maisha zitapanda kama wanavyolia wenzetu wa kenya maana serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato sasa ili kufidia hayo kitakachofuata kodi nyingi zitakazo umiza wananchi. Enyi viongozi wenye uchu wa madaraka acheni kupotosha umma. Sisi wananchi tunataka maisha bora tu si uwingi wa serikali
Eti mnataka serikali tatu...? Kwa vyanzo gani hasa vya mapato mpaka zanzibar iwezeze kuchangia serikali ya muungano? Hapa kinachoonekana ni kuridhisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka tu kwani gharama ya maisha zitapanda kama wanavyolia wenzetu wa kenya maana serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato sasa ili kufidia hayo kitakachofuata kodi nyingi zitakazo umiza wananchi. Enyi viongozi wenye uchu wa madaraka acheni kupotosha umma. Sisi wananchi tunataka maisha bora tu si uwingi wa serikali
wandug wa jf hivi wanavyo sema serikali tatu ni maana vyama tatu au nin,naombeni msaada wenu
Miaka 50 kumekuwepo na Serikali 2, vipi kuhusu viashiria vya maisha bora, Kenya hakuna Seikali 3. Ili kulinda hii kitu ni busara zaidi kama ingekuwa Serikali 1.
Kwanini wapinzani wamenga'nga'na sana na swala la serikali tatu? Ni kweli ni kwa ajili ya maslahi ya watanzania au maslahi ya kisiasa?
Wapinzania hawajawahi kuwa pamoja kwenye maswala ya msingi wala hata kuungana tu kwenye chaguzi ili kutengeneza nguvu ya kuing'oa CCM, ila hapa kwenye serikali 3 wamekua pamoja hasa?
Kwenye kampeni za Lipumba misikitini anawaponda CHADEMA, na CHADEMA wanafahamu hilo, yaani hawa jamaa nje ya malumbano ya serikali 3 ni maadui.
Kwanini tusilazimishe serikali 1 au turekebishe makosa yaliyopo?
USA ilinunua Alaska na New Mexico ili kujiongezea rasilimali watu na ardhi, Huyu Nyerere ambaye wapinzani wanajidai kumuenzi alisema ili tuendelee tunahitaji WATU, ARDHI, SIASA SAFI NA UONGOZI BORA.
Hapa tunachokosa ni SIASA SAFI NA UONGOZI BORA sasa tuna sababu gani ya kupunguza ardhi na rasilimali watu?
Tukirekebisha kasoro za muungano na wapinzani wakasimamia maswala ya msingi ya nchi hii ambayo CCM wamekua wakibabaisha kama UFISADI ULIOKITHIRI, RUSHWA ELIMU DUNI NA MENGINE LUKUKI TUNAYAFAHAMU.
Nitakuwa wa mstari wa mbele kwenye maandano yatakayoitishwa na wapinzani. Hili la serikali 3 likifanikiwa we will be the f***in' loosers.