Lakini kuwashauri wapinzani bila kujitambulisha ni kufanya makosa.
Wewe huko upande gani wa siasa? Ukiwa unasema kama mwanaCCM, nadhani wapinzani wamepata ujumbe wako.
Lakini mimi niliye huru (nisiye na chama) nawaambia wapinzani msiweke mayai kwenye kapu moja. Kila ngazi ya uchaguzi ina-visibility yake.
Ni kweli lakini hapa tunaongea kwa maslahi ya Utaifa zaidi bila kuwa na Chama, Binafsi kiongozi mwenye dira na anayetekeleza Dira za chama chake ndiye namuunga Mkono kwani Hata katika CCM wapo waadilifu na katika Upinzani wapo Wenye Umimi na Tamaa pia.
Naimani kuwa Mashina ni nguzo muafaka pia ila kwa Level walizonazo akina Lipumba, Zito, Mbowe, Mbatia huwezi kuwarudisha kwenye vikao vya kata wanatakiwa wakawahutubie huko na kuimarisha Chama kwenye Kata na MAshina wakiwa nai Viongozi na wawakilishi wa Majimbo.
Ninaposema hivi namaanisha kunakuwa na Sauti ya nguvu akienda kama Mbunge kama alivyokwenda Mheshimiwa Zitto kupiga tough kule Kiteto mliona impact yake.
Kuing'oa CCM kunahitaji mikakati na si kukurupuka kwa mwendo wa sasa na chaguzi zilizopita tutaisindikiza milele.
Labda unataka wapinzani waende msituni. Sababu kubwa ya kushindwa kwa wapinzani sio mbinu zao bali ufinyu wa mawazo ya wapiga kura wenyewe. Na sio kazi ya wapinzani kwenda kuwafundisha watu ABC.
fikiria kabla hujasema Mkubwa... Naimani elimu ya Uraia ni ukombozi wa Siasa na mafanikio ya Chama cha siasa, watu hawana Elimu ya Uraia bado wanashabikia Chama na si mtu!! naimani kwenye elimu ya Uraia na umakini wa Upinzani CCM huwa inapata taabu, si kila anayehutubia anakipaji cha kukusanya watu na si watu wakikusanyika wanakuja kukusikiliza wewe kuna point mbili ambazo zinatofautiana kukusanya watu na kuwafanya uliowakusanya wakuelewe!! Tulishuhuda Mtikila na Mrema wakisukumwa toka Jangwani hadi makwao, Mrema alikuwa akifungua mdomo esho ne Lead Story leo kiko wapi akiongea habari utaikuta page 5 kama si 7 pembeni ya matangazo ya Vifo hujiulizi ni kwanini? tunapaswa kuwafanya watu wetu waamini tunayoyahutubia majukwaani.
Kwa sasa Chadema wanaweza kuja kuisumbua sana CCM ni kwa sababu wameonyesha vitendo vya maneno yao!! Wako kwa maslahi ya Taifa na si kwa maslahi ya chama chao.
Ninachotaka kusema ni kwamba Watu wanaelimishwa na Kauli zetu ndio zinakujenga au Kukubomoa hujui msemo usemao.... "ULIMI ULIPONZA KICHWA..."
Wabillah Tawfiq
Ni kweli lakini hapa tunaongea kwa maslahi ya Utaifa zaidi bila kuwa na Chama, Binafsi kiongozi mwenye dira na anayetekeleza Dira za chama chake ndiye namuunga Mkono kwani Hata katika CCM wapo waadilifu na katika Upinzani wapo Wenye Umimi na Tamaa pia.
Naimani kuwa Mashina ni nguzo muafaka pia ila kwa Level walizonazo akina Lipumba, Zito, Mbowe, Mbatia huwezi kuwarudisha kwenye vikao vya kata wanatakiwa wakawahutubie huko na kuimarisha Chama kwenye Kata na MAshina wakiwa nai Viongozi na wawakilishi wa Majimbo.
Ninaposema hivi namaanisha kunakuwa na Sauti ya nguvu akienda kama Mbunge kama alivyokwenda Mheshimiwa Zitto kupiga tough kule Kiteto mliona impact yake.
Kuing'oa CCM kunahitaji mikakati na si kukurupuka kwa mwendo wa sasa na chaguzi zilizopita tutaisindikiza milele.[/QUOTE]
Mbinu za kuing'oa SISIEMU zipo tayari na zinatumika kwa nguvu zote.
Tatizo ni pale SISIEMU ikibaini imeshindwa inatumia Polisi FFU na Fedha za walipa Kodi na Vitisho visivyo vya lazima, kama kuwaeleza wananchi kwamba machafuko yatatokea endapo upinzani utachukua kiti.
Vyama vya Upinzania vikitaka kuchukua hatua kamili kuikabiri SISIEMu katika ununda wake maana yake ni kuanzisha vita. Kwa sababu vyama vya upinzani havina jeshi ni wazi vita ikizuka ni kukimbilia msituni tu.
Aina za siasa kama hii ya kudai haki(sheria) kwa nguvu ni common sana barani Afrika. Ni wazi vyama vya upinzani vinajua madhara ya kutumia nguvu badala ya hoja katika kutwaa madaraka ndiyo maana hata pale SISIEMU ikibebwa na FFU vyama vya upinzani vinaendeleza kauri na hoja za nguvu bila kutumia mabavu.
Sidhani kama chaguzi zijazo litakuwa ni suala la kusindikiza SISIEMU, majira yanabadirika na watu wanabadirika.
Ninachotaka kusema ni kwamba Watu wanaelimishwa na Kauli zetu ndio zinakujenga au Kukubomoa hujui msemo usemao.... "ULIMI ULIPONZA KICHWA..."
Mkuu Lunyungu, ninakubaliana na maneno yako,
However, hoja nyingi kwenye hii topic zinaonyesha kuwa wengi wetu hapa JF sio wapiga kura, maana tunaonekana kutegemea miujiza huku tukiangalia kwa pembeni], wakuu tujimwage kuchukua fomu sisi wenyewe wana JF!
Wewe mkuu Pope, lazima ni "mtu mzima sana", maana maneno kama haya husemwa na wanaoelewa mambo mengi sana, yaani umeniogopesha sana mkuu, maana sijawahi kuona maneno mazito kama haya hapa JF!
- "kumbuka ukubwa wa pua si wingu wa kamasi
- "Miluzi Mingi ilimpoteza Mbwa"
Ni imani yangu kabisa Upinzani wa kweli ndio mombozi wa Nchi hii, Hata leo wakiingia Chadema bado tunataka CCM kiwe chama cha Upinzani chenye nguvu. Tunachotaka kuwe na mtu wa kumnyooshea kidole mwenzie.
Mkuu Lunyungu, ninakubaliana na maneno yako,
However, hoja nyingi kwenye hii topic zinaonyesha kuwa wengi wetu hapa JF sio wapiga kura, maana tunaonekana kutegemea miujiza huku tukiangalia kwa pembeni, wakuu tujimwage kuchukua fomu sisi wenyewe wana JF!
Sisi ndiyo tutaleta mageuzi au hayaji kamwe.