Pope
Senior Member
- Dec 3, 2007
- 117
- 0
kimtazamo naona wapinzani waachane na kumaliza nguvu kwenye kiti ch uraisi badala yake waongeze nguvu kwenye Ubunge.
Naimani kuwa kama hivi vichwa vyote vya Upinzani CUF, NCCR, CHADEMA n.k vikiwa bungeni basi bunge litakuwa la changamoto na kuibana serikali kwa hoja na sio maneno nje ya Bunge, mabyo wakati mwingine ni ya maana lakini yanachukuliwa kama kelele za kisiasa. Najaribu kupata picha kama hawa wangeungana na Ndesamburo, Slaa, Kabwe na wengine sijui pangekuwaje huko!!!
Pili:
Ili kuishinda CCM ni lazima kuwe na umoja, sauti ya Umoja, tukubaliane katika suala la uraisi akisimamishwa mmoja kunakuwa na nguvu na mgawanyo wa kura unakuwa kati ya chama tawala na huyo mgombea aliyesimama, Vyama viachiane majimbo wasimamishe watu wanaokubalika na kuwe na collecive power itakayopelekwa hapo na vyama vyote huku wakifanyiana Kampeni kwa zamu kwa mtaji huu kutakuwa na uhakika wa viti vingi vya uwakilishi wa Upinzani Bungeni...
Naomba kuwakilisha
Naimani kuwa kama hivi vichwa vyote vya Upinzani CUF, NCCR, CHADEMA n.k vikiwa bungeni basi bunge litakuwa la changamoto na kuibana serikali kwa hoja na sio maneno nje ya Bunge, mabyo wakati mwingine ni ya maana lakini yanachukuliwa kama kelele za kisiasa. Najaribu kupata picha kama hawa wangeungana na Ndesamburo, Slaa, Kabwe na wengine sijui pangekuwaje huko!!!
Pili:
Ili kuishinda CCM ni lazima kuwe na umoja, sauti ya Umoja, tukubaliane katika suala la uraisi akisimamishwa mmoja kunakuwa na nguvu na mgawanyo wa kura unakuwa kati ya chama tawala na huyo mgombea aliyesimama, Vyama viachiane majimbo wasimamishe watu wanaokubalika na kuwe na collecive power itakayopelekwa hapo na vyama vyote huku wakifanyiana Kampeni kwa zamu kwa mtaji huu kutakuwa na uhakika wa viti vingi vya uwakilishi wa Upinzani Bungeni...
Naomba kuwakilisha