Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
wangeanza na miatatu ili badae wapandishage,wakati watu wameshazoea..
Kama vile wanavyofanya ndege? unaambiwa nauli 99,000/= kila baada ya wiki inaogezeka baada ya mwezi inafika 180,000/= na wanakuwa sawa na mashirika mengine na tayari wameshajitangaza.