R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Wapinga nauli ya treni ya 700/- Dar: WADAU wa usafiri wa Reli nchini wamepinga mapendekezo ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) la kutaka nauli ya usafiri wa umma wa treni jijini Dar es Salaam kuwa Sh 700 na 800.