Wapiga picha useles

Wapiga picha useles

sajumo

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
1,834
Reaction score
1,056
Naona sasa kuna haja ya kufundishana namna ya kupiga picha kuna baadhi ya picha unaona kabisa hazijabeba details muhim
Kutokana na mpiga picha kukosa timing ya picha au kukosea angle ya yeye kuchukulia hiyo picha


Kama hii picha huyu mpiga picha kakosea timing kwann asisubili mhusika ashushe mguu
IMG_20190228_201453_933.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa watoto kama sisi si tutapofuka
 
Naona sasa kuna haja ya kufundishana namna ya kupiga picha kuna baadhi ya picha unaona kabisa hazijabeba details muhim
Kutokana na mpiga picha kukosa timing ya picha au kukosea angle ya yeye kuchukulia hiyo picha


Kama hii picha huyu mpiga picha kakosea timing kwann asisubili mhusika ashushe mguu View attachment 1034577

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu je alitaimu vizuri?
1551425442455.png
 
Hii ilinishtua sana mpaka nilipokaa sawa kutazama vizuri ndiyo nikaelewa kumbe ni mkoni

LINK HII
Screenshot_2019-12-18-18-23-55.png
Screenshot_2019-12-18-18-24-15-1.png
Screenshot_2019-12-18-18-24-06.png
 
Back
Top Bottom