mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 754
Unamjua vizuri lakini huyu dogo.Kama ambavyo mwigulu na dr vitunbua walivyo na akili kuliko mwenyekiti wa chama chao
Unamjua vizuri lakini huyu dogo.Kama ambavyo mwigulu na dr vitunbua walivyo na akili kuliko mwenyekiti wa chama chao
hakuna aliyem miss huyo mhaini,labda wewe gamba mkuu!kwa sasa Zitto yupo majuu ana kula maisha na binti wa mkuu wa jamhuri..zzk watanzania wamekumiss.
Zitto yuko kimya anatafakari ubaguzi ndani ya chadema
zzk watanzania wamekumiss.
Yaani yuko ujerumani wakati taifa linajadili swala kubwa kama hili linahitaji watu makini? Huenda inachangia bunge kuwa linaongea utumbo mwingi sana.Nimemsikia jana bbc akihojiwa na Salim Kikeke kuhusu mpira wa Liver na Man City akiwa Ujeruman, jamaa ni shabiki wa live
Tunadai katiba ya watanganyika na siyo ya wabembe wa kikongomani.
Anakula ujana na mtoto wa dhaifu la magogoni siunajua tena jamaa ana hisa za kibiashara na magari ya saratyoga na andriveture,
hivyo anpiga dili za kifisadi siku hizi umugope!
wana jamvi napenda kujua wapi ndugu zitto kabwe mbona haonekani katika mjadala wa katiba bungeni?naomba mwenye data zake atuwekee humu
jnusweTunahitaji kusikia maoni yako juu ya mjadala unaoendelea , mbona kimyaa ? au mawazo yako serikali zote 3 au 2 unazikubali ?
Kuna kitu gani kimekusibu mbona sio kawaida yako kukaa kimya namna hiyo