umenikumbusha mbali sana na kale ka wimbo 'umbwe ni mti safi wa matunda mema' na longolongo zingine.
hila mi nakumbuka fujo tu za watu ' masaweee nantombe masawee' na mdomo wa jamaa mmoja kwa jina la 'wete kiwara' akianza na atheee jamani mwenzetu anaitaji msaada Haki ya Mungu. We ulikuwa mwaka gani pale?
Rindi kati pale kuna mbege tamu ajabu, debe la Machame na Zoo (Kibosho Girls) na Lobilo (Kichaka)
kuvuna mahindi kule Machine Tools; pariki, kuberi na No. 1 siku za debe
fongo na katizi pale Umbwe town (katikati ya dorm 2&3)
maputo dorm 9 kule juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.