Wapi wanauza Timz,Timbo, Timberland OG hapa Dar

Wapi wanauza Timz,Timbo, Timberland OG hapa Dar

Kafiti

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
538
Reaction score
220
Habari wanajamvi,

Msaada, ni wapi naweza pata kiatu tajwa original hapa mjini Dar. Nimejaribu kutembea K'koo last Wikend nimekuta fake vingi wanauza kwa 85k(nafahamu Og itakuwa zaidi hapo). Shida yangu ni Original Timz ya kuwa navaa. Wapi mnanunua. Ahsanteni.
timz.jpg
 
Mkuu nenda pale IT Plaza chini pana duka flani wanauza hizo vitu OG kabisa. Pia nenda pale posta mpya ukitoka Benjamin Mkapa NSSF Tower, NMB Bank, Mavuno house kama unaenda Askari monument upande wa kulia kwako kuna duka lina hizo kitu OG. sema bei parefu sana.
 
Mkuu hizi vitu saizi wanachakachua sana kama vipi fanya kuagiza Amazon au ebay unaweza pata OG
 
Back
Top Bottom