Wapi wanatengeneza toroli or wanauza food carts kama hili

Wapi wanatengeneza toroli or wanauza food carts kama hili

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
573
Reaction score
1,354
IMG_2858.jpeg
 
hicho kitoroli chenye tairi 4 ninacho nilikuwa nauzia popcorn hilo kabati unatengeneza tu kwa mafundi wa aluminium
Kama unacho ulitengeneza wapi? Na bei gani? Na cha kwako unakiuza?
 
Back
Top Bottom