Jibu hilo hapo juuMbona nauliza swali serious unacheka cheka kama kitobo, unatafuta baasha nini khanithi wa milembe?
SIDO, TEMDO, IMARATECH, INTERMEC...popote kati ya hizo taasisi watakutengenezea mbona haina complication hiyo
kinatengenezwa ilala wanapotengeneza popcorn machines bei yake ni 300k cha kwangu nipe 150kKama unacho ulitengeneza wapi? Na bei gani? Na cha kwako unakiuza?
kinatengenezwa ilala wanapotengeneza popcorn machines bei yake ni 300k cha kwangu nipe 150k
Zote unakula haumsikilizi Dr JanabiNataka hizo kachori, sambusa, vitumbua, eggchop, soseji na mikate ya maji.