Wanajamvi naombeni kupata habari za msanii wa komedi aliyekuwa anaitwa Vengu, alikuwa mgonjwa, je yupo wapi? Au bado anaugua? Mbona wadau hatuna feedback?
Ya Vengu ni Kama Ya Aliyekuwa Premier wa Nchi Yangu Kipenzi Israeli Bwana Ariel Sharon ambaye Kwa Muongo Mzima Sasa Yupo ktk Coma ( Nusu Hai, Nusu Marehemu ). Akili Zako na Za Kuambiwa......................................:smile-big: