Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
basi nimelishwa matango pori!!nimesoma mahali wameandika ni Morogoro
Hahahaha pole
basi nimelishwa matango pori!!nimesoma mahali wameandika ni Morogoro
Dawa mademu wapends kuchuka kama kisa bwana wako hana pesa..!duh inatisha tatizo ni nini?
khee inipitie mbali hiiDawa mademu wapends kuchuka kama kisa bwana wako hana pesa..!
Nikikuoa ndiyo dawa yako..!khee inipitie mbali hii
ha haha hela kwanzaNikikuoa ndiyo dawa yako..!
Pesa ya nini nimepata muarobaini utapewa pesa ya kuzugia kisha, hutokaa uonje pesa yangu labda kwenye ugali afu chepuka uone..!ha haha hela kwanza
ha haha labda unifungie ndani sababu hutaniuonaPesa ya nini nimepata muarobaini utapewa pesa ya kuzugia kisha, hutokaa uonje pesa yangu labda kwenye ugali afu chepuka uone..!