Wapi Sugu?

Wapi Sugu?

Ahsante kwa picha mkuu,ila inakera maana no 1 anatembelea Mbeya kama Rais wa nchi SIO chairman wa chama dola.ila kuna wenye kujipendekeza kwa nyuma naaona wamevaa green na yellow!!,kuna mwenye picha ya Rais wa awamu ya kwanza aliyovaa kiccm please
Hvyo ulitaka kila siku awe mbeya siyo????
 
Kwahyo zile skafu mmezisahau au????? Kama vipi pasukaaa
Yan wewe ndio ms... namba 1 tena nahisi una.... utakuwa uanamalizia mwenyewe yaan kwenye shughuli za kichama ndio mnatakiwa mzivae hizo uchafu zenu ila sio kwenye mikutano ya kitaifa ambayo haina uchama. Tatizo mmeshikiwa akili ndio maaana mnashindwaga kuchanganua ata mambo ndio maana ata RAIS amewapiga chn uvccm na kuwachukua mamluki kutoka CDM na kuwapa vitengo coz kaona akili zenu bado ni FINYU SNA.
But all in all life linasonga ujanja wako ndio mafanikio yako uwe FISIEM, CDM, ACT,CUF nk ukitumia nguvu umeumia.
 
Yan wewe ndio ms... namba 1 tena nahisi una.... utakuwa uanamalizia mwenyewe yaan kwenye shughuli za kichama ndio mnatakiwa mzivae hizo uchafu zenu ila sio kwenye mikutano ya kitaifa ambayo haina uchama. Tatizo mmeshikiwa akili ndio maaana mnashindwaga kuchanganua ata mambo ndio maana ata RAIS amewapiga chn uvccm na kuwachukua mamluki kutoka CDM na kuwapa vitengo coz kaona akili zenu bado ni FINYU SNA.
But all in all life linasonga ujanja wako ndio mafanikio yako uwe FISIEM, CDM, ACT,CUF nk ukitumia nguvu umeumia.
Matusi yako yanonesha wewe ni nani hata kama sijakuona nimeshaiona picha yako....... Sinahaja ya kurushiana hayo maneno nawewe, CDM mmesahau mlivyompa ugombea urais Lowasa, kweli akili zako nisawa na maneno yako.
 
Matusi yako yanonesha wewe ni nani hata kama sijakuona nimeshaiona picha yako....... Sinahaja ya kurushiana hayo maneno nawewe, CDM mmesahau mlivyompa ugombea urais Lowasa, kweli akili zako nisawa na maneno yako.
Sasa Lowassa na ..... unadhan yupi anafaa kushika nchi au unadhani ata kama amerud Lumumba ndio nitampondea yule Leader and smart politician tofaut na ...
Ukijua utofaut ya KUONGOZA NA KUTAWALA uwez kupata shda
 
Back
Top Bottom