Ni muda sasa ambao tunaweza kufanya tathimini ya faida na mustakabli wa shonza na mwapamba katika chama chetu cha ccm.Je wameserve purpose ya kile tulichowarecruit? Kama sivyo ni muda wa kuachana nao kwani hawana tija.Si jambo la afya kuwa na watu wa msimu na kuwasahau vijana ambao wamekipigania chama tangu wako chipukizi mpaka sasa.CCM tulikosea kuwapa kipaumbele hawa jamaa kwa manufaa ya msimu.Miaka 37 tujitafakari