Napenda kufahamu ni wapi nitapata technical secondary schools ya serikali au binafsi nzuri na ni active? Nataka kumpeleka kijana wangu akaanze form one mwakani 2016.
je za government ni zip?
Karibu Tanga Technical mkuu
Tanga school shule yangu,bweni la Twiga,nakukumbuka sana
mkuu vipi Bweni la kiboko lile la njuka. hukupita?
Kiboko lipo karibu na bweni la wasichana Mbuni
Yah karibu na Dinning HallKiboko lipo karibu na bweni la wasichana Mbuni