Umemaanisha niniKweli jf expert member!!anaweza kuharisha hivi?!!
Kakosea nn au huujui huo mkia wa pweza? Nayo ni usb na ina hicho unachokitaka.Kweli jf expert member!!anaweza kuharisha hivi?!!
Nenda kwa machinga waonesheNaomba mwenye kuweza kuwa na usb ya iana hii, au zinapatikana wapi kwa dar, ni ya ipod, niliyokuwa naitumia imeharibika.nitadhukuru
View attachment 1980687
Hajamaanisha pweza anaeliwa kamaanisha pweza ile chaji yenye USB nyingi nyingi za simu tofauti tofauti ndio inaweza kuwa na cable kama hiyo.Kweli jf expert member!!anaweza kuharisha hivi?!!
Sorry mkuu!!unajua tena hii hamisha hamisha ya machinga tumepagawa watu, hapa nipo na banda langu hata cjui nalipeleka wapi!!!sikuwa nimeelewa mkuu nisamehee bure!!ila sijui kama kwenye hizo naweza ipata kwani hii ipod ni product ya apple!!!Umemaanisha nini
Kitambo nilichajia iphone 4 na izoSorry mkuu!!unajua tena hii hamisha hamisha ya machinga tumepagawa watu, hapa nipo na banda langu hata cjui nalipeleka wapi!!!sikuwa nimeelewa mkuu nisamehee bure!!ila sijui kama kwenye hizo naweza ipata kwani hii ipod ni product ya apple!!!
Ni kweli nina hiyo ipod kwenye kusikilizia miziki ni nzuri sana, sasa hiyo usb imekufa!!Kitambo nilichajia iphone 4 na izo