sintah Senior Member Joined Aug 18, 2013 Posts 187 Reaction score 191 Jun 15, 2021 Thread starter #21 Elli Mshana said: Aagh kizibao sina aiseeee Click to expand... mkuu pm umefunga
funzadume JF-Expert Member Joined Jan 28, 2010 Posts 13,650 Reaction score 21,484 Jun 15, 2021 #22 sintah said: huyo itabidi nmtafute mambo yakikaa sawa, yupo mtaa gan Click to expand... Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe
sintah said: huyo itabidi nmtafute mambo yakikaa sawa, yupo mtaa gan Click to expand... Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 21,689 Reaction score 41,849 Jun 15, 2021 #23 funzadume said: Kuna mwanangu mmoja ananishonea suti na kitambaa kwa laki tu na zimesimama balaa na vitambaa quality sio kama midosho ya kichina Click to expand... Naomba contacts zake. #MaendeleoHayanaChama Sent using Jamii Forums mobile app
funzadume said: Kuna mwanangu mmoja ananishonea suti na kitambaa kwa laki tu na zimesimama balaa na vitambaa quality sio kama midosho ya kichina Click to expand... Naomba contacts zake. #MaendeleoHayanaChama Sent using Jamii Forums mobile app
sintah Senior Member Joined Aug 18, 2013 Posts 187 Reaction score 191 Jun 16, 2021 Thread starter #24 funzadume said: Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe Click to expand... ok
funzadume said: Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe Click to expand... ok
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,340 Reaction score 13,362 Jun 16, 2021 #25 Extrovert said: Ahahahah mi nataka na waya wa maskion ule kama Wazee wa DAR FREE MARKET Click to expand... Hahaaaaaaaaaaaa,mkuuuuuuuuuuu
Extrovert said: Ahahahah mi nataka na waya wa maskion ule kama Wazee wa DAR FREE MARKET Click to expand... Hahaaaaaaaaaaaa,mkuuuuuuuuuuu
Mwl.RCT Platinum Member Joined Apr 5, 2009 Posts 15,595 Reaction score 22,334 Jun 16, 2021 #26 funzadume said: zimesimama balaa na vitambaa quality Click to expand... Wapi location yake anapofanyia hii kazi? Edit: Nimeona location Thanks funzadume said: Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe Click to expand... Na je huchukua muda gani? kukamilika. Je hana ule usumbufu wa njoo kesho, Njoo kesho! [ Hili ni tatizo sugu kwa mafundi nguo walio wengi ]
funzadume said: zimesimama balaa na vitambaa quality Click to expand... Wapi location yake anapofanyia hii kazi? Edit: Nimeona location Thanks funzadume said: Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe Click to expand... Na je huchukua muda gani? kukamilika. Je hana ule usumbufu wa njoo kesho, Njoo kesho! [ Hili ni tatizo sugu kwa mafundi nguo walio wengi ]
mapinduzi daima JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 1,724 Reaction score 2,704 Jun 16, 2021 #27 funzadume said: Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe Click to expand... Tuwasiliane PM Chief Nahitaj kama 2 kali kabisaaa
funzadume said: Yuko karibu na clock tower ukiwa tayari ni pm nikupe namba ukapendeze kibabe Click to expand... Tuwasiliane PM Chief Nahitaj kama 2 kali kabisaaa
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,508 Reaction score 13,974 Jun 16, 2021 #28 Mleta mada huna pumb* au takko kubwaa mm pia navaa 36 ila nipo Koromije ningekuazimisha.
Namche Bazar Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 122 Reaction score 179 Feb 11, 2022 #30 funzadume said: Kuna mwanangu mmoja ananishonea suti na kitambaa kwa laki tu na zimesimama balaa na vitambaa quality sio kama midosho ya kichina Click to expand... Atakuwa ana kiwanda chake cha vitambaa. Au unakushonea na vile vitambaa vya elfu Saba kwa Mita.?
funzadume said: Kuna mwanangu mmoja ananishonea suti na kitambaa kwa laki tu na zimesimama balaa na vitambaa quality sio kama midosho ya kichina Click to expand... Atakuwa ana kiwanda chake cha vitambaa. Au unakushonea na vile vitambaa vya elfu Saba kwa Mita.?
Meshaki Richard JF-Expert Member Joined Mar 19, 2021 Posts 320 Reaction score 177 Feb 14, 2022 #31 funzadume said: Kuna mwanangu mmoja ananishonea suti na kitambaa kwa laki tu na zimesimama balaa na vitambaa quality sio kama midosho ya kichina Click to expand... Weka contact twende tumpe kazi ila wengine ni bonge bei iwe hiyo hiyo
funzadume said: Kuna mwanangu mmoja ananishonea suti na kitambaa kwa laki tu na zimesimama balaa na vitambaa quality sio kama midosho ya kichina Click to expand... Weka contact twende tumpe kazi ila wengine ni bonge bei iwe hiyo hiyo
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 58,972 Reaction score 69,352 Feb 14, 2022 #32 Extrovert said: Isije ikawa ina pindo chini tu π π π Click to expand... Kama Ya Mwalimu Wa Zamu
Extrovert said: Isije ikawa ina pindo chini tu π π π Click to expand... Kama Ya Mwalimu Wa Zamu