Karibu Chanika ninavyo vizuri sanaaWakuu habarini za muda huu
Kwa Dar es Sallam ni wapi naweza kupata kiwanja cha milioni 3?
Namaanisha kiwanja cha milioni moja,mbili hadi tatu mwisho iwe tatu maana ndo uwezo wangu
Kwa Dar napendelea maeneo yote isipokua tu maeneo ya kilwa Road
Kwa 3M au 2M au chini yake ni wapi naweza pata kiwanja?Umbali kutoka barabara kuu iwe kutembea hata kwa mguu isizidi dakika 20 au dakika 25
Pia naomba kujuwa kwa milioni 3 si naweza kupata walau kiwanja kikubwa cha size ya kati?Au vya 2M 2.5M au 3M mara nyingi huwa ni ukubwa gani kwa wajuzi wa humu?
Pia naombeni kujua ni taratibu gani za kufuata ili kumiliki kiwanja maana ndugu yenu nikiri kuwa mimi sijui procedure zozote za kumiliki kiwanja naogopa kupigwa sana, kutapeliwa pia naogopa kununua kiwanja chenye mgogoro jee nifate taratibu gani?
Natanguliza shukrani
Njoo nkuuzie malamba mawili kwa banana Zoro.... Nnacho 15 kwa 13Wakuu habarini za muda huu,
Kwa Dar es Saalam ni wapi naweza kupata kiwanja cha milioni 3? Namaanisha kiwanja cha milioni moja, mbili hadi tatu mwisho, iwe tatu maana ndiyo uwezo wangu. Kwa Dar napendelea maeneo yote isipokua tu maeneo ya kilwa Road.
Kwa milioni 2 au 3 au chini yake ni wapi naweza pata kiwanja? Umbali kutoka barabara kuu iwe kutembea hata kwa mguu isizidi dakika 20 au dakika 25.
Pia naomba kujua kwa milioni 3 si naweza kupata walau kiwanja kikubwa cha size ya kati au vya milioni 2, 2.5 au 3 mara nyingi huwa ni ukubwa gani kwa wajuzi wa humu?
Pia naombeni kujua ni taratibu gani za kufuata ili kumiliki kiwanja, maana ndugu yenu nikiri kuwa mimi sijui taratibu zozote za kumiliki kiwanja. Naogopa kupigwa sana, kutapeliwa, pia naogopa kununua kiwanja chenye mgogoro. Je, nifate taratibu gani?
Natanguliza shukrani.
Kwa hiyo 2mil utapata porini sana. Labd 3 had 4, mwendo wa mguu 1 hour kutok mail moja kibaha unapata vingi tuNenda nje ya mji huko kibamba vipo vingi tuu.
Au mailimoja, kibaha, kiluvya nk
Maeneo hayo ni sawa na kuwa mjini tuu maana mwendokasi imefika huko.
Mwenzako kaweka wazi kiwanja kisizidi M 3 wwe unakuja na habari za M 6! Wabongo ndiyo maana mnafeligi mitihani yenye maswali mepesi sana!!Eneo linauzwa kibaha kwa mfipa (simbani) ukubwa wa 20 kwa 40 bei milion 6 ni pazuri sana mawasiliano 0692402562
Kiwanja kipo Cha 550sqm na 650sqm vimepimwa 3M kipo umbali wa 28 kutoka Fery na 25km kutoka daraja la kigamboni, location Ni mwasonga- mtaa wa Ngoma MapunduziKaribu Chanika ninavyo vizuri sanaa
No longolongo ni vyangu mwenyewe
Mwambie kabisa ni BUYUNI Alafu. Mkubushe ni Km ngapi Toka Fery,pia lami inakaribia Avic kwenda huko ni kama unaenda Mkoani Maana hamna lami.Kama ana mishemishe town mara 1000 aende Kibaha.
Sure ni huko kimbiji ndani ndani sanaMwambie kabisa ni BUYUNI Alafu. Mkubushe ni Km ngapi Toka Fery,pia lami inakaribia Avic kwenda huko ni kama unaenda Mkoani Maana hamna lami.Kama ana mishemishe town mara 1000 aende Kibaha.