Wapi nitapata kifaa cha umeme Cha kuulia mbu?

Wapi nitapata kifaa cha umeme Cha kuulia mbu?

Mama Nehemiah

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2018
Posts
275
Reaction score
471
Wakuu nahitaji kile kifaa kidogo kinachotumia umeme kwa ajili ya kuulia mbu, kile unaweka dawa yako unachomeka kwa umeme kinaendelea na kazi.

Naomba mwenye kujua wapi nakipata nikanunue kesho.

Asante
 
Kariakoo Mtaa wa sikukuu na mchikichi, kwenye Hotel ya Concord pale jengo inaloangalizana nalo ingia ndani kwenye vichochoro ama Sikukuu na Agreyy yapo pia maduka mengine.
 
Back
Top Bottom