Wapi nitapata hizi softwares

Wapi nitapata hizi softwares

Zipo za kulipia kwa mwezi, ama unaweza tafuta key za bei rahisi ebay kwa version za zamani kama Cs5 ama Cs6.

Hapa mjini unaweza ukauziwa piracy, software za kuchakachua wanadownload bure na kuuzia watu.
Nashukuru kwa kuni alert
 
Kama kweli wewe ni mnunuzi basi tumia Adobe creative cloud kununua hizo product na utakuwa unalipia kwa mwezi au mwaka product uitakayo.

Ukishindwa hapo rudi tu kwenye team waibaji tukugawiwe kitambulisho cha waibaji mtandaoni.
Hahahaha nataka zile gunuine Ila hata za kuiba online sio mbaya it's just a matter of taste and preference
 
Naam nataka kujua Ni wapi naweza nunua hizi software hapo dar

Adobe illustrator

Adobe Photoshop

ArchCAD Au AUTOCAD

CC@chiefmkwawa
mkuu pia naomba jaribu GetintoPc hiyo website inasoftware nyingi sana na bure wala hazitaki key.....
 
mkuu pia naomba jaribu GetintoPc hiyo website inasoftware nyingi sana na bure wala hazitaki key.....
Hii site software zake zote zina malware we mdanganye.juzi jamaa yangu alidownload cinema 4d vzr ikarun kesho yake alivowasha pc program files zote zimeliwa. Malware ili corrupt registry.
 
Naam nataka kujua Ni wapi naweza nunua hizi software hapo dar

Adobe illustrator

Adobe Photoshop

ArchCAD Au AUTOCAD

CC@chiefmkwawa
Habari mkuu. Hauwezi kununua kwa mtu au kampuni yyt ukiwa Dar au Tanzania kwa ujumla. Adobe wana certified dealers ambao wanasimamia biashara zao. Na siku hizi biashara zao ni za kulipia kwa mwezi au monthly. Cha kufanya ni kutafuta nearby dealers ambapo in our case utawapata Kenya. Binafsi nimeshawahi kununua illustrator kupitia dealer yuko Nairobi. Bei ni around 1m kwa subscription ya mwaka
 
Hii site software zake zote zina malware we mdanganye.juzi jamaa yangu alidownload cinema 4d vzr ikarun kesho yake alivowasha pc program files zote zimeliwa. Malware ili corrupt registry.
Mkuu mimi vitu vyote kwenye PC yangu nimedownload kupitia hii site kuanzia Photo editing, video editing, games na hata microsoft word zote nimetoa huko.....so ninaexperience nako
 
Back
Top Bottom