Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
<br />NOAH wanapatikana kwa wingi ndanda mission parokia ya mtwara mjini
<br /><br /><br />
<br /><br />
irrelevant details ndanda mission haipo mtwara mjini, na umbali ku2ka ndanda hadi mtwara mjini ni kama 180km. Na msaada wangu kwa muulza swali kitimoto kwa mtwara mjini inapatkana maeneo ya shangani muuzaji anaitwa kavishe na pia inapatkana nyuma cecy bar.
<br />Mkuu kitimoto inapatikana Blantyre bar au nenda Bondeni bar. Pale utapiga kitimoto hadi asubuhi. Kama utakosa hizo sehemu mbili basi nenda Chikongola
<br /><br /><br />
Dah c uliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya masasi du am sure we ni Nape
<br />
<br />
Mkuu muache mgeni wangu hapa kaja kwa wema mbona!! Kama vp msubiri jukwaa la zogo a.k.a siasa! Wakati fulani naamini huwa mnamchokoza Mwita25 ati!
huh...................hbu naomba niwe mgeni kidogo hapa<br />
Dah c uliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya masasi du am sure we ni Nape
<br />ukifika we lala nje ya nyumba ukiwa uchi kitimoto atakuja mwenyewe. teh teh
<br />Kanisani majengo au jirani na st. Augustine university! Niliwahi pelekwa na mwenyeji wangu sehemu hizo..
<br />Mdudu wa blue tooth anapitikana container kwa bayona pale ligula hosp. Ukufika fanya mawasiliano nikupeleke pahala tukale pweza
<br />Vitabu vyote vinazuia kula swahini we nyama zingine uzioni? kula kuku mtamu sana
<br />Vitabu vyote vinazuia kula swahini we nyama zingine uzioni? kula kuku mtamu sana