Wapi naweza kupata suti za bei rahisi?

Mbagala Tz

Member
Joined
Mar 16, 2017
Posts
57
Reaction score
42
Salaam wakuu

Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini classic

Maana nimezunguka Kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000

Na mimi hiyo hela ya 150,000 sina.
 
Salaam wakuu

Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini cladsic

Maana nimezunguka kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000

Na mm hyo hela ya 150,000 sina
Kuna msela humu alisema anashonesha suti bei rahisi, jaribu kutafuta huo uzi
 
Nenda Karume, kanunue koti kivyake na suruali pia zipo hapohapo. Koti 20,000 suruali 15,000 mpaka 10,000. Unang'ara kwa 35,000 au 30,000. Ila kama ndio wale wa kupenda sifa nenda kwenye maduka ya vioo ukatoe 150,000.

Kila la kheri, suti zangu nanunuaga Karume mtu akiona lazima heshima anipe..
 
Halafu unakuwa peke yako mjini Sio za dukani Kila mtu anayo
 
Nenda kkoo mtaa wa muhonda kutoka msimbazi kuelekea congo
 
Mbona suti zipo kibao Kkoo kwa 95 mkuu tafuta Brand ya DARO kitambaa chake sio kibaya ila tatizo ni single button ila ukichukua Brand nyingine utazijutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…