Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Kwani kasema yuko dar?????Nenda kkoo kamtafute jamaa anaitwa kinega fasta simu yako unauza
Kwani kasema yuko dar?????Nenda kkoo kamtafute jamaa anaitwa kinega fasta simu yako unauza
Dah! Umemjibu kibabe sanaHuu ndio ushauri kuntu.......ila kama unaona simu bora kuliko njaa,kula simu yako!
Ndo maana tunataka kujua jinsia yake.Mh huu utakua uzembe wa aina yake !!! Mkopo mpaka 10000
sifa za kukopq m-pawa ni zipi?Hana sifa za kukopa timiza wala m-pawa. Ukute analo deni "tafadhali nipigie".
Ukikuta asubuhi zimekombwa? Utalalamika kwa naniUkipata pesa siku nyingine fungua akaunti ya m-pawa,hutadhalilika kamwe,ni siri yako wewe na kampuni.
Ni wapi naweza kupata kupaya mkopo wa tsh 10000? Tofauti na branch kwasababu sina kitambulisho cha mpiga kura
Ni tovuti gani nyingine inayotoa mkopo online?
Pesa imekata ghafla na sina namna yoyote ile ya kupata pesa ya kunisukuma angalau siku 3
Ningefurahi ningepata maelekezo ni wapi wanatoa mkopo kama wa 10000 ili inisaidie chakula kwa siku 3
Ni app gan inayotoa mkopo nikope
Ningekupa hiyo 10,000/- lakini hakuna mkopo utakaopewa na taasisi yoyote ya kifedha endapo utasema unaenda kutumia kujikimu(chakula)...mathalani kama ingekua biashara ungepata mapema sana.Ni wapi naweza kupata kupaya mkopo wa tsh 10000? Tofauti na branch kwasababu sina kitambulisho cha mpiga kura
Ni tovuti gani nyingine inayotoa mkopo online?
Pesa imekata ghafla na sina namna yoyote ile ya kupata pesa ya kunisukuma angalau siku 3
Ningefurahi ningepata maelekezo ni wapi wanatoa mkopo kama wa 10000 ili inisaidie chakula kwa siku 3
Ni app gan inayotoa mkopo nikope
hata hivyo nimeainisha hapo kuwa nina mpango wa kuanza biasharaNingekupa hiyo 10,000/- lakini hakuna mkopo utakaopewa na taasisi yoyote ya kifedha endapo utasema unaenda kutumia kujikimu(chakula)...mathalani kama ingekua biashara ungepata mapema sana.
nimesajili lain ya tgo ina week watakubali?Rahisi kabisa siku hizi hata huangaiki.. kama ndo mara ya kwanza na una line tatu yani tigo, airtel na vodacom siku hizi wanakudhamini unapata mkopo.
Tigo nivushe piga *150*81#
airtel- Timiza *150*60#
M-Pawa (voda) *150*00# then 5 unapata M-Pawa.
najua mara ya kwanza utapata kiasi kidogo ila ukijumlisha line zote itafika tu elfu 10 ya kukusogeza. Usimsumbue mtu ukapata matusi bure kwa sababu hali ya sasa hairuhusu hata kumgusia mtu akukopeshe.
Ingia tigo nivushe *150*81hash kama unavigezo watakupatia bilashakaNi wapi naweza kupata kupaya mkopo wa tsh 10000? Tofauti na branch kwasababu sina kitambulisho cha mpiga kura
Ni tovuti gani nyingine inayotoa mkopo online?
Pesa imekata ghafla na sina namna yoyote ile ya kupata pesa ya kunisukuma angalau siku 3
Ningefurahi ningepata maelekezo ni wapi wanatoa mkopo kama wa 10000 ili inisaidie chakula kwa siku 3
Na pia nina mpango kabambe wa kuanza biashara ndogo ndogo ya kununua na kuuza vitu
mh.....?mkuu itakua anzote mbiliAcha upumbavu wewe...
Umeulizwa jinsia unajibu mh...
mh ndio jinsia gani!!